Umesahau na weather...
Umenikumbusha Dar enzi hizo jua kali na joto kiama, unakuta mtu kapiga manguo fulani walikuwa wanayaita OPP kapiga full kajifunika mpaka kichwani. ukimuuliza hivi husikii joto? anakuwa mkali kama mbogo.
Katika nchi chache nilizotembelea kama south africa, kenya, mozambique, zambia, rwanda etc.....wanawake wa tz kuvaa zero iwe nyumbani,ofisini au outing. Kwanza wanachanganya nguo za ofisi na za out yaani hapo unakuja mchanganyiko wa ajabu. VIATU hapo ndio hakuna kitu kabisa. Wengi wao ni sandolz na open shoes iwe ofisini au outing . mpaka miguu inapauka harafu wanaenda kuisugua mwenge.ukimkuta kavaa closed shoes ujue kazini kwao wamelazimishwa. Pia vigumu sana kumkuta mdada wa kibongo kavaa RABA na kaptura weekend au outing
naunga mkono hoja,na vitambi navyo kama sehemu ya vazi vinawaharibu sana hawa wake zetu,nilioa akiwa bomba,kila nguo inampendeza,lkn sasa na hiki kitambi cha kuku na bia,hamna kitu tena,anyway ndo nimeshaoa hivyo,sina namna.
we acha tu Daisy,huwa anasema nisimchoshe,kama nimemchoka nimrudishe,i love her anyway and she knows siwezi mrudisha.Mkadaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhh!!!!!! Mwambie afanye mazoezi bhana, hasikuchoshe bure!!!!!!!!!!!
Twende tukanunue bukta na raba asee na sie tujue kuvaa.....!!!Pale lumumba kuna raba kalibukta zipo lango sawa???Mh... bora mie huvaa kuficha u.c.h.i na kwa heshima nukta!!!
uko sawa mamaa,hebu chukua tano kwanza,isitoshe ht wenyewe (wanaume) hawajui kupangilia pamba kazi kusema wanawake tu.