kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,036
- 330
Katika nchi chache nilizotembelea kama south africa, kenya, mozambique, zambia, rwanda etc.....wanawake wa tz kuvaa zero iwe nyumbani,ofisini au outing. Kwanza wanachanganya nguo za ofisi na za out yaani hapo unakuja mchanganyiko wa ajabu. VIATU hapo ndio hakuna kitu kabisa. Wengi wao ni sandolz na open shoes iwe ofisini au outing . mpaka miguu inapauka harafu wanaenda kuisugua mwenge.ukimkuta kavaa closed shoes ujue kazini kwao wamelazimishwa. Pia vigumu sana kumkuta mdada wa kibongo kavaa RABA na kaptura weekend au outing