Wanawake wa Mwanza mjini na maisha yao

Wanawake wa Mwanza mjini na maisha yao

Kila mkoa una katabia kake na mambo yake. Mji wa Mwanza naupata vizuri ndio maana kutafuta hakuna mipaka.

Hapa naeleza machache labda kwa nilliyo yadaka mimi maana sio mgeni.

Wadada wa Mwanza wale pisi kali wanapenda maisha kuanzia J3 mpaka J3 pesa hipo.

Kanda ya ziwa kwa jiji la Mwanza kila aliyepata mafanikio kwenye biashara, ujambazi, madini, uvuvi na n.k ndoto yake kuishi mwanza tena kwa vijana wenye uchu kufanikiwa maisha.

Vijana na wazee wanapenda kumiliki toto za mwanza ila cha kuchekesha hawa wadada wa mwanza akili zao unaweza kusema msimamo wa bando na waziri.

Kila dada wa Mwanza ukimuuliza biashara gani ufanye basi asilimia 90 yote inawaza duka la nguo na iliyobaki ni vipodozi.
Kamwe hakuna mwanamke anayekaa mbali na simu yake.

wee tafuta PESA tu Bro
 
Mji unanuka harufu ya uozo wa samaki
Kumbe unaweza kujiona mjanja kumbe wewe ndo mshamba haswa, Mwizukulu mgikuru nimeishi dar lakini hakuna mji siupendi kama dar kwa sababu ya hali ya hewa yake ya joto, uchafu ulio kithili kila Kona.

Hoja yako ya kwamba mwanza Kuna harufu ya samaki vip kuhusu dar kivukoni.? Sehemu ipo ikulu lakini inanuka harufu ya uozo wa samaki ni aibu.!
 
Unakuta mtu anaponda mkoa x mfano mwanza kumbe anaishi kijijini ambapo pana mtandao wa 3G
 
Wabaya hawataki wenyeji wapo Kama watu wafuatao .
Wanzanzibar hawataki watu wabara , na waajiriwe au waaishi huko .

Wanachuki na wakristo ila sisi hhatun chuki nao .

Wakurya na wamusoma haswa hata sumu watakuwekea ,vitimbi watakufanyia vioja vingi vingi tu ili ondoke wabaya sana .

Watu watanga hawapendi uajiriwe makwao naushaidi kabisa watu Hawa ni wabaya sana
Kama nchi iko hivi basi hizi mada za Wasukuma zife!! Kila mkoa au kila kabila zina pande zote mbili mbaya na nzuri inategemea na nature tu ya mtu!!

Hatujasikia kuhusu mkoa wako Arusha wamasai wakoje mkuu?
 
Unakuta mtu anaponda mkoa x mfano mwanza kumbe anaishi kijijini ambapo pana mtandao wa 3G
Unakuta mtu ni wa BAHI huko au Ileje na MAKAMBAKO afu anaponda Mwanza unabaki unamuonea tu huruma maskini
 

Attachments

  • Screenshot_20220905-081907_Facebook.jpg
    Screenshot_20220905-081907_Facebook.jpg
    137.9 KB · Views: 43
Back
Top Bottom