Wanawake wa Mwanza mjini na maisha yao

Wanawake wa Mwanza mjini na maisha yao

Kila mkoa una katabia kake na mambo yake. Mji wa Mwanza naupata vizuri ndio maana kutafuta hakuna mipaka.

Hapa naeleza machache labda kwa nilliyo yadaka mimi maana sio mgeni.

Wadada wa Mwanza wale pisi kali wanapenda maisha kuanzia J3 mpaka J3 pesa hipo.

Kanda ya ziwa kwa jiji la Mwanza kila aliyepata mafanikio kwenye biashara, ujambazi, madini, uvuvi na n.k ndoto yake kuishi mwanza tena kwa vijana wenye uchu kufanikiwa maisha.

Vijana na wazee wanapenda kumiliki toto za mwanza ila cha kuchekesha hawa wadada wa mwanza akili zao unaweza kusema msimamo wa bando na waziri.

Kila dada wa Mwanza ukimuuliza biashara gani ufanye basi asilimia 90 yote inawaza duka la nguo na iliyobaki ni vipodozi.
Sasa unataka watu wakauze kachori wamuuzie nani?
 
Wenzako wako bize kuwekeza Mwanza wewe unapaponda kila siku! Jitahidi uende usiangalie watu wa Mwanza saizi Mwanza sio ya Wasukuma tu ambao unawaita washamba!
Ukiwa Mwanza kila kabila liko Pale japo kuwa wasukuma bado ni wengi pia!
Jibu zuri kabisa
 
Mwanza huwa napaona pa hovyoo sijui kwanini?🤔...halafu mtu hata angefanya nini akiwa mwanza huwa namuona mshamba.....mwaka 2022 nimepata sana pesa lakini sikuwahi kutamani kwenda kufanya starehe yoyote mwanza kwa sababu huwa napadharau saaana tena sana
Mbona umepata sana pesa khekhekhe khekhekhe aiseh kazi kweli kweli.
 
Ukishindwa kuishi na msukuma wewe ni mpumbavu,hakuna kabila lenye upendo kama hao watu,hawana makuu ,hawana ubaguzi na wala si watu wa kujikweza .

Mwanza ni sehemu nzuri kabisa ya kuishi ,bado kuna maeneo mazuri ya kujenga kwa makazi na biashara pia .
Mwanza kuna fursa nyingi za kibiashara ,mambo mengi mazuri utayapata mwanza.

Ni upuuzi kusema mkoa x siwezi ishi mimi,eti una hiki na hiki,si ungezaliwa porini uishi na wanyama kama hutaki watu,sehemu yoyote mtu waweza ishi ila inategemea na vipaumbele vyako,sehemu isiyo salama kuishi ni mikumi tu ndani ya hifadhi mana kuna wanyama wakari.
 
Ukishindwa kuishi na msukuma wewe ni mpumbavu,hakuna kabila lenye upendo kama hao watu,hawana makuu ,hawana ubaguzi na wala si watu wa kujikweza .

Mwanza ni sehemu nzuri kabisa ya kuishi ,bado kuna maeneo mazuri ya kujenga kwa makazi na biashara pia .
Mwanza kuna fursa nyingi za kibiashara ,mambo mengi mazuri utayapata mwanza.

Ni upuuzi kusema mkoa x siwezi ishi mimi,eti una hiki na hiki,si ungezaliwa porini uishi na wanyama kama hutaki watu,sehemu yoyote mtu waweza ishi ila inategemea na vipaumbele vyako,sehemu isiyo salama kuishi ni mikumi tu ndani ya hifadhi mana kuna wanyama wakari.
Nakazia kabisa kwa hapa TANZANIA ukishibdwa kuishi na MSUKUMA wewe ni mpumbavu wa kiwango cha mwisho kabisa
 
Kila mkoa una katabia kake na mambo yake. Mji wa Mwanza naupata vizuri ndio maana kutafuta hakuna mipaka.

Hapa naeleza machache labda kwa nilliyo yadaka mimi maana sio mgeni.

Wadada wa Mwanza wale pisi kali wanapenda maisha kuanzia J3 mpaka J3 pesa hipo.

Kanda ya ziwa kwa jiji la Mwanza kila aliyepata mafanikio kwenye biashara, ujambazi, madini, uvuvi na n.k ndoto yake kuishi mwanza tena kwa vijana wenye uchu kufanikiwa maisha.

Vijana na wazee wanapenda kumiliki toto za mwanza ila cha kuchekesha hawa wadada wa mwanza akili zao unaweza kusema msimamo wa bando na waziri.

Kila dada wa Mwanza ukimuuliza biashara gani ufanye basi asilimia 90 yote inawaza duka la nguo na iliyobaki ni vipodozi.
Unavoenda sehem ndivyo hivyo utakavyopokelewa.
Duka la nguo, duka la vipodoz ni biashara si shida, hakuna ulazima wowote wa mtu kufanya biashara asokua na upendo nayo ni lazima mtu afanye biashara yenye ako na upendo nayo.

Kingine hakuna mtu anaependa kukaukiwa pesa kama ww unapenda basi ni ww.

Uwezi sema ety mtu ana akili kama kifurushi cha jero wakati ww mwenyewe akili zako hatujajua ziko maeneo gani kweny mwili wako.
 
Mademu wa mwanza ovyo sana anakupa namba ya simu vizuri ila ukimpigia hapokei

Dawa yao huwa ni moja tu mkitongozana mbebe hapohapo ukimpa dakika chache tu humpati tena.ni kama dishi limeyumba,hawana msimamo kabisa na ushamba mwingi
Sa je kama hauna mvuto unataka akupeleke wapi.
 
Back
Top Bottom