Wanawake wa Mwanza mjini na maisha yao

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,722
Kila mkoa una katabia kake na mambo yake. Mji wa Mwanza naupata vizuri ndio maana kutafuta hakuna mipaka.

Hapa naeleza machache labda kwa nilliyo yadaka mimi maana sio mgeni.

Wadada wa Mwanza wale pisi kali wanapenda maisha kuanzia J3 mpaka J3 pesa hipo.

Kanda ya ziwa kwa jiji la Mwanza kila aliyepata mafanikio kwenye biashara, ujambazi, madini, uvuvi na n.k ndoto yake kuishi mwanza tena kwa vijana wenye uchu kufanikiwa maisha.

Vijana na wazee wanapenda kumiliki toto za mwanza ila cha kuchekesha hawa wadada wa mwanza akili zao unaweza kusema msimamo wa bando na waziri.

Kila dada wa Mwanza ukimuuliza biashara gani ufanye basi asilimia 90 yote inawaza duka la nguo na iliyobaki ni vipodozi.
 
Mwanza huwa napaona pa hovyoo sijui kwanini?🤔...halafu mtu hata angefanya nini akiwa mwanza huwa namuona mshamba.....mwaka 2022 nimepata sana pesa lakini sikuwahi kutamani kwenda kufanya starehe yoyote mwanza kwa sababu huwa napadharau saaana tena sana
 
Mwanza huwa napaona pa hovyoo sijui kwanini?🤔...halafu mtu angefanya nini akiwa mwanza huwa namuona mshamba.....mwaka 2022 nimepata sana pesa lakini sikuwahi kutamani kwenda kufanya starehe yoyote mwanza kwa sababu huwa napadharau saaana tena sana
Wenzako wako bize kuwekeza Mwanza wewe unapaponda kila siku! Jitahidi uende usiangalie watu wa Mwanza saizi Mwanza sio ya Wasukuma tu ambao unawaita washamba!
Ukiwa Mwanza kila kabila liko Pale japo kuwa wasukuma bado ni wengi pia!
 
Jiji gani hilo katikati ya mji watu wanabishana mpira wa simba na yanga kwa kisukuma, sijawahi kutamani kuishi mwanza hata wiki moja.
Wewe sasa naona tatizo lako sio Mwanza! Tatizo lao ni wasukuma wanaoishi Mwanza hutaki kabisa waonekane wasukuma hapoa mwanza!
Na kwa taarifa yako Wasukuma mwanza hawawezi kutoka maana wale sio wazaramo maana kama ni kuzitafuta hela wanajua na nyinyi wahamiaji njooni tutafute riziki maana waswahili husema riziki popote!
Mwanza kama unaichukia kwa sababu wasukuma wanabishana mambo ya mpira kwa kuongea lugha yao ya asili basi umepotoka sana maana kisukuma ni lugha tu kuna watu mwanza ni wahaya ,wakurya au wanyiramba wanajua kuongea kisukuma na usikariri kila anaeongea kisukuma ni msukuma!
 
Wewe sasa naona tatizo lako sio Mwanza! Tatizo lao ni wasukuma wanaoishi Mwanza hutaki kabisa waonekane wasukuma hapoa mwanza!
Na kwa taarifa yako Wasukuma mwanza hawawezi kutoka maana wale sio wazaramo maana kama ni kuzitafuta hela wanajua na nyinyi wahamiaji njooni tutafute riziki maana waswahili husema riziki popote!
Mwanza kama unaichukia kwa sababu wasukuma wanabishana mambo ya mpira kwa kuongea lugha yao ya asili basi umepotoka sana maana kisukuma ni lugha tu kuna watu mwanza ni wahaya ,wakurya au wanyiramba wanajua kuongea kisukuma na usikariri kila anaeongea kisukuma ni msukuma!
Shida ya wasukuma ukabila
 
Kila mkoa una katabia kake na mambo yake. Mji wa Mwanza naupata vizuri ndio maana kutafuta hakuna mipaka.

Hapa naeleza machache labda kwa nilliyo yadaka mimi maana sio mgeni.

Wadada wa Mwanza wale pisi kali wanapenda maisha kuanzia J3 mpaka J3 pesa hipo.

Kanda ya ziwa kwa jiji la Mwanza kila aliyepata mafanikio kwenye biashara, ujambazi, madini, uvuvi na n.k ndoto yake kuishi mwanza tena kwa vijana wenye uchu kufanikiwa maisha.

Vijana na wazee wanapenda kumiliki toto za mwanza ila cha kuchekesha hawa wadada wa mwanza akili zao unaweza kusema msimamo wa bando na waziri.

Kila dada wa Mwanza ukimuuliza biashara gani ufanye basi asilimia 90 yote inawaza duka la nguo na iliyobaki ni vipodozi.
"Bando na waziri" ndiyo nini mkuu?
Emb decode hilo neno twende sambamba.
 
Shida ya wasukuma ukabila
Nimeishi Usukumani sana na ndio nilipo hadi sahv ninakofanyia kazi Nakiri kabisa WASUKUMA hawana ukabila shida usipowaelewa ile tabia yao ya kupenda kuzungumza sana kilugha unaweza jua ndio ukabila wenyewe ila hawana ukabila kabisa!!!


Jamaa ukiishi nao vizuri utaenjoy tu pamoja na wenzao wakurya maana ndio nimesoma huko Advance hawa jamaa hawana shida kabisa
 
Back
Top Bottom