mimi tu ndo mzuri kupita wote ila sitaki weka picha yangu hapo.....
Bora usiweke shosti...watu wana macho mabaya hapaa mara utaota upele wa ajabu watakuhusudu bure.....
usimkataze akiweka na mimi naweka yangu,tutafunika
Hata hawampati shosti wangu farkhina!!
Atapigwa zongo lol!Bora usiweke shosti...watu wana macho mabaya hapaa mara utaota upele wa ajabu watakuhusudu bure.....
Hhahahahahaha weka yako kwanza basi lol...
Bora usiweke shosti...watu wana macho mabaya hapaa mara utaota upele wa ajabu watakuhusudu bure.....
umeona eeh! maana wakaka humu jf wamezidi kufagilia wa nje wkt hata hapa bongo warembo hata zaidi ya hao wapo!!! we ngoja nikitibuka tu nakuja kumwaga mapicha yao humu ili na sie wadada tujadili kwetu kukoje???hahahahah
sitaki kupata picha "wa kawaida" kwetu itakua vipi..nimecheka sana
unajua most men hate the truth so ukileta itakua kama bomb!
bora tu tulete na sisi za waarabu,latinos,kuna eritrea pia etc..
Napata taabu sana kwenye kipengele cha wadadamu kuumbwa kwa mfano wa mwenyezi Mungu