imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,036
Unaweza ukauza nyumba.Duuuuuhh...
Unaweza ukauza nyumba.Duuuuuhh...
Sio nyumba tu, hata familia unaweza kuitelekezaUnaweza ukauza nyumba.
Wakushi ni warembo bhana, hata wagiriki wa kale walishakiri katika maandishi yao.Sio nyumba tu, hata familia unaweza kuitelekeza
Bwana mkubwa umesha badilisha Avatar ya mwanzo kipindi hicho. Mambo yanaendaje lakiniakina tenane hawa wako njema tofauti na wamalawi.
Nalog off
100% Natural hakuna cha mkorogo wala nini hata lipstick..
Mambo yako poa,naifagilia Simba kwanzaBwana mkubwa umesha badilisha Avatar ya mwanzo kipindi hicho. Mambo yanaendaje lakini