wana heshima balaa, tena wanajituma kwa kazi, utiifu, tatizo wengi weusi si umeona kule Igunga mkuu?
wana heshima balaa, tena wanajituma kwa kazi, utiifu, tatizo wengi weusi si umeona kule Igunga mkuu?
wana heshima balaa, tena wanajituma kwa kazi, utiifu, tatizo wengi weusi si umeona kule Igunga mkuu?
Wanajua kulima lakini ni usiku kwenye gizi. Wana aleji na mwanga. Pia hawataki ufahamu chochote kuhusu umbile lao.Wakuu naamini sijapotea kwa hawa wanyamwezi. Naomba anaye wajua vizuri aniambie tabia zao kabla sijawapelekea ng'ombe wao
kisamvu chao kunoga!
na ni wataalam wa yale mabo.wanajua kupika sana tena vyakula vingi tu vya kibongo na wengi wana mapenzi ya kweli na ni wachapa kazi wazuri sana