Hoodla
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 284
- 98
Most..
I have examples.
However ni baina ya ntu na ntu.
Pole yako may be uliangukia mabarbie ambao hawajafundwa
Most..
I have examples.
However ni baina ya ntu na ntu.
Me mwenyewe wakenya nilowahi kukutana nao, wanadharau hasa wanaidharau Nchi yetu na kila kitu kilichomo. Hadi najiuliza hv hata watanzania wako hivo wakiwa nchi za watu! Kuna cku wakenya tulikuwa nao kwenye daladala laakumbusho kkoo, walikuwa km watano hv wanaume wawili na wanawake watatu. Imagine wanaongea njia nzima na kuiponda tanzania na vitu wanavyo viona, lkn watanzania km desturi yao wote walikuwa kmya tu. Mimi nilitamani niwashushe sema gari haikuwa yangu. Lkn wakenye wengi nmekutana nao full kujifanya wazungi na wajuaji hata ukifuatilia forums zao angalia km watadiscuss TZ wanaponda. Kwa kweli me cwakubali, na mwalimu nyelele alitulea vzr watanzania jamani, ktk EA tutakuwa tunaongoza kwa uungwana. Ila hayo mengine ya ndani cjajua lkn naweza kukubaliana nayo maana nimekutana na wakenya wengi wao hamna kitu.
kuhusu usafiri kweli hata mm Mara ya kwanza kufika dar nilishtuka coz hakuna kusimama au kujaza dldl kama nnavyojaza Kenya bt kuhukumu wanawake zaidi ya milioni 10 kwa ajili ya wachache uliokuwa nao No its not right think twice!
Wanapiga haooo
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza.
Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita.
Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi na shule kichwani imetulia, na ana career.
Kiswahili ndio hicho hicho cha kuvunjavunja.
Kwa kifupi so far tume-click! Kila siku naona hapa jamvini sifa za wanawake mara wa Kirangi, Kichaga sijui Wahaya and so on.
Nahitaji kujua sifa za hawa wadada toka Kenya.
Najua wengi wenu mmeshakumbana nao na mnawajua sifa na tabia zao.
Nahitaji kujua wasifu wao ili nijue kabla sijafika nae mbali huyu demu wa baba Moi ili nijue kama kusuka ama kunyoa.
Natanguliza shukran zangu!!
that's truth kabisaaaWakenya wanawawake hasa wa-Nairobi ni shiiiiidaa yaani ni taabu hawajui mapenzi zaidi ya kutaka pesa mbele kwa kweli kama unataka kufa mapema kaoe mkenya
Jamaa angu ameoa mkenya huu ni mwaka wa saba akuna shida wala ugomvi