Wanawake wa Kikenya

Wanawake wa Kikenya

Naamin tangu uombe ushaur had leo tayar umeshayajua mapunguf yake na mazuri yake naomba utuweke waz na sisi tulioanza mahusiano na wakenya wapoje?
 
Nili-date na demu kutoka Kisii huko Kenya, ni shida tupu kwa kweli....wanapenda pesa, uaminifu zero, wabinafsi sana na shida kubwa anakuganda mno pamoja na majanga yake yote hayo. Nahisi wanaume wa Kenya ndo wanawaharibu wanawake wao mpaka wanakuwa na matabia ya ajabu hivyo
 
Nili-date na demu kutoka Kisii huko Kenya, ni shida tupu kwa kweli....wanapenda pesa, uaminifu zero, wabinafsi sana na shida kubwa anakuganda mno pamoja na majanga yake yote hayo. Nahisi wanaume wa Kenya ndo wanawaharibu wanawake wao mpaka wanakuwa na matabia ya ajabu hivyo
Uaminifu zero halafu tena anakugandia nini ?
 
Uaminifu zero halafu tena anakugandia nini ?
Yaani sio waaminifu kabisa na hataki umuache, ukimpiga chini anaganda kinoma, atakufuata hata kazini kama anapajua. Mie huyo mkisii tulikutana kwenye mazingira ya kazi, alikuwa kaajiriwa na NGO moja hapa TZ, mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu ambayo tulikuwa tunakutana na maafisa wa NGO yao mara kwa mara, kupitia hilo tukaanza mahusiano. Kwa kweli nakiri nilipata shida sana na yule mwanamke, na hawana aibu kabisa!
 
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza.

Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita.

Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi na shule kichwani imetulia, na ana career.

Kiswahili ndio hicho hicho cha kuvunjavunja.

Kwa kifupi so far tume-click! Kila siku naona hapa jamvini sifa za wanawake mara wa Kirangi, Kichaga sijui Wahaya and so on.

Nahitaji kujua sifa za hawa wadada toka Kenya.

Najua wengi wenu mmeshakumbana nao na mnawajua sifa na tabia zao.

Nahitaji kujua wasifu wao ili nijue kabla sijafika nae mbali huyu demu wa baba Moi ili nijue kama kusuka ama kunyoa.

Natanguliza shukran zangu!!
Tatizo hawanaga chura
 
Sifa kubwa ya general kwa wake wa Kenya ni kutwanga makonde waume zao na niwapenda pesa zaidi ya hata wachaga
 
Kweli, alikuwa mweusi tii, mrefu na tako kubwa na mapaja makubwa kweli kweli...mzuri sana usoni, meno meupee!! Ni yeye ndo aliyeanza kunipenda na dalili zote nikaziona, nikaona niteleze na ganda la ndizi...mwanzo hakuwa na shida, tulipozoeana baada ya kama mwezi hivi ndo nikaanza kuona rangi....
Vumilia la muhimu ana wezere inatosha mengine kausha tu
 
Kama umempenda chukua maamuzi ya kiuanaume usisubiri kusikia kutoka kwa watu wengine.
 
Nimepitia hii thread kusema kweli wabongo mmetema sana nyongo kuhusu wakenya😁😁😁 Anyway Mimi nataka nikachukue mnyarwanda mmoja hivi, maana alinikubali sana nilipokutana nae safarini AU NA HUKO NAKO MATATIZO MATUPU nibaki na Wana nzengo we zangu hapahapa nchini
 
Hao wanamtindo ukimkosea akitumbukia huko kwao sahau kumwona pia huwa hawaachi watoto wao so kama utazaa nae akiondoka na mtoto jihesabie hujazaa nae kuna baadhi ya jamaa zangu wamesubili mpaka basi manzi mara yupo Mombasa mara nakuru mara Nairobi ila weka ndani uone jinsi wanakuaga aje maana mi nawajuanga kidogo waki treat their husbands so huyo wako anaweza kuwa yupo different.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom