Tram Almasi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 748
- 227
Hebu wadada wa Kikenya mjitokeze hapa tusikie. Kama hawapo, wakaka wa kikenya mlonge basii!
Ni mjaluo au mkikuyu?
Acha dharau. Hata hao wasichana wa kikenya kuna Kenya-ubongolala wengi tu
Hebu wadada wa Kikenya mjitokeze hapa tusikie. Kama hawapo, wakaka wa kikenya mlonge basii!
mkuu hapo ndio penyewe kama umeridhika napo we kanyaga twende kila mtu ana tabia zake hapa duniani
nawajua sana na wagoloko na wanafiki sana wapotezeee tu hao
Ahsante kwa msaada wako, naamini ujumbe utakuwa umefika.Hebu wadada wa Kikenya mjitokeze hapa tusikie. Kama hawapo, wakaka wa kikenya mlonge basii!
Mwenzio kasema jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza: by induction huyo binti ni Mjaluo!!!
Mkuu kama ni mjaluo chukua faster,ila wanamsimamo sana,hawapendi longolongo,kama ni mkisii hao ni wachoyo sana,hawapendi wageni,kama ni mluya,hao sio wasafi sana,pazia kubadilishwa yawezachukua hata mwezi..kuna wakurya na wasuba wa kenya wao wanafanana tabia na hawa wa kwetu...ila kwa wajaluo utakuwa umepata mke mwema,though wanapenda sana prestige,kama wahaya vile,lakin they are wife material.heko kwa dadazangu wa kijaluo.though mimi nimeshikwa unyamwezini.
I'm speechless
thats it.
Mhh...kaka kwa uzoef wang hao wat kwa future ni bangua kichwa labda kama ni "hit and run " lakn anyways nenda naye adoado ukimsoma mana tusihukumu kwa "stereo type"