AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 952
Mkikuyu wa kenya ni Mmachame wa TZ kwa tabia....Nimemaliza,kaoe.
Ubaya hauna kabila
Mkikuyu wa kenya ni Mmachame wa TZ kwa tabia....Nimemaliza,kaoe.
Ndugu nakwambia ukweli kabisa umeingia choo cha stendi maana hao wanawake hawafai kabisa
Ni much know sana
Hawana mapenzi (Angalia Martha Karua) hapo utapata majibu
Hawana moyo wa huruma wewe ukitaka uhakika nenda kenya
Halafu zungumza na wanaume watakueleza yote
Hawawataki wanawake wao wako kipesa zaidi HAWAFAI nawajua
Angalau ungempata Mluya kidogo afadhali hao wa nyanza umeliwa
Kuachan nje nje tu
Nitafute mie niko huku wananitaka wakati nimeolewa sababu eti mie mpole
ila kabila lina asili sasa ubaya waweza kuwa asili ya kabila.Ubaya hauna kabila
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza.
Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita.
Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi na shule kichwani imetulia, na ana career.
Kiswahili ndio hicho hicho cha kuvunjavunja.
Kwa kifupi so far tume-click! Kila siku naona hapa jamvini sifa za wanawake mara wa Kirangi, Kichaga sijui Wahaya and so on.
Nahitaji kujua sifa za hawa wadada toka Kenya.
Najua wengi wenu mmeshakumbana nao na mnawajua sifa na tabia zao.
Nahitaji kujua wasifu wao ili nijue kabla sijafika nae mbali huyu demu wa baba Moi ili nijue kama kusuka ama kunyoa.
Natanguliza shukran zangu!!
Na mwanamke wa kikenya akikuzidi nguvu utapigwa haswa.Kuna jirani yetu hapa huwa anapigwa usiku na mchana mpaka namuonea huruma. Hawa wanawake wana maumbo ya kike lakini misuli ni ya kiume atiii.