Aoae mbali na kwao, asipodanganya anadanganywa. Mungu mwenyezi ndiye aliyeweka, dunia, mabaara, nchi akaweka na makabila. Mtu anayesema pasiwe na ubaguzi wa kikabila akumbuke kama ni ubaguzi alianza Mungu kwa kutugawa makundi ya Wanyakyusa, Wangoni, Wakenya Watanzania nk.
Unaweza kuoa Kenya au popote lakini lazima ujue tofauti zenu zitakuwa kubwa mno kuliko Mmbongo Mtz. Inatia shaka kama katika kabila lako lote hakuna wife material, mkoa, hadi nchi hakuna hadi Kenya? Na huyo mwanamke kwa nini hakuolewa kwao mpaka aje kuolewa Tanzania? Wanaume wenzako kwa nini hawajamuona wife material? Sio manung'ayembe huyo. Generalization sio kitu kibaya ila it needs to be taken with great care, majumuisho mengine yanafaida zake tusikariri tu ati tabia haihitaji generalization