Labda atakusikia wewe mkuuUnaangaika na dem wa kikenya. Wacha ujinga, mbona wabongo poa tu!
they are not at all. they are full of arrogance and side shows. they are not ready to assume feminine responsibilities as stipulated by African culture and traditions. i swear its very hard for a kenyan lady to survive marriage. how many...unaweza kuhesabu bila tatizo. kenyan ladies are easily brainwashed, love money like hell. kazi yao nikurusha miguu kama swala. leo hapa kensho pale. Nenda koinange street wamejaa tele nusu uchi hujui msomi na asiyesoma wote hali moja. kila siku hapa nairobi utasikia visa vya wasichana kuuliwa lodging. hawana hata mvuto kitandani. bure kabisa, wanalala kama magogo isipokuwa mkamba kidogo ila nae ni super woman-nyege utadhani mto wami hazipungui hatosheki hata mfanyie nini. hata kama wangekuwa 12 kama mitume, bora kuishi bila kuliko mwanamke mkenya!@!!Smatta i think it's not about being soft many Kenyan women are so aggressive which sometimes people confuse it with arrogance, Tanzanian women are laid back.
lisemwalo lipoduh hii post imekwenda extreme naona mtu mwenye story nzuri kuhusu ndugu zetu achangie.., Duh they cant be that bad..., lazima kuna mazuri ambayo inabidi muyaweke hapa ili kutoa balanced view
<br />they are not at all. they are full of arrogance and side shows. they are not ready to assume feminine responsibilities as stipulated by African culture and traditions. i swear its very hard for a kenyan lady to survive marriage. how many...unaweza kuhesabu bila tatizo. kenyan ladies are easily brainwashed, love money like hell. kazi yao nikurusha miguu kama swala. leo hapa kensho pale. Nenda koinange street wamejaa tele nusu uchi hujui msomi na asiyesoma wote hali moja. kila siku hapa nairobi utasikia visa vya wasichana kuuliwa lodging. hawana hata mvuto kitandani. bure kabisa, wanalala kama magogo isipokuwa mkamba kidogo ila nae ni super woman-nyege utadhani mto wami hazipungui hatosheki hata mfanyie nini. hata kama wangekuwa 12 kama mitume, bora kuishi bila kuliko mwanamke mkenya!@!!
<br />Wanawake wa Kikenya ndugu yangu usijaribu.Nimebahatika kuwa na mjaluo ni watu,wa amri sana,wanapenda pesa mno,na swala la usaliti nje nje!.Wakenya wenyew wanapenda sana wa tz coz wanaheshima mbele ya mwanaume.Wakongo na wakenya looks the same.
<br />
<br />
niliwahi kuwa na mluo mmoja kuna kipindi nikawa sina hela akaamua kuliwa na kaka yangu
Acheni hizo wakuu. Tuwe wapole kidogo, usiniambie mnaeza generalise a whole population juu ya watu kadhaa mliopatana nao. Bila ubaya, na prefer ku converse na toto wa Kikenya compared na msichana wa Bongo kwa sababu Mkenya atleast ana come across as inteligent compared na dadangu wa Bongo ambaye ni very submisive na hatuwezi ongea kitu chochote cha maana, labda kumwambia anitayarishie chips mayai.
Boss kama umempenda mtu wako then get married, mimi nimeoa mTanzania lakini nina uhakika very soon nitao msichana wa kikenya. wasichana wa Kenya si mabongo lala kama hawa wenyu aise, sidhani kuna mwanaume wa Bongo anaeza oa mkenya hiyo marriage ifaulu.. Ngumu sana, nyie ni wapole sana.
Hahahahahaha The BossMwenyezi Mungu, baba wa brahamu na Isaac, Uliyeumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyooneka, mguse huyu kijana atembee Tanzania nzima apate mke mwema. mzibe hayo macho yake, yasiweze kuangalia kenya. Ewe Mungu baba akiangalia tu kenya kutafuta mke ndo mwisho wa maisha yake. Ninampenda na binafsi hawajui wanawake wakenya na ndio natanguli kumwombea hili dua ili umbariki aweze kuyatupilia hayo mawazo tasa mbali na awatafute wachumba kutoka Tanzania ambao ni wacheshi,wacha Mungu na wachapa kazi. Asante Mungu kwa kunisikiliza. Ameen
Hapo mkuu umeniacha hoi!
Kwa hiyo kama usawa ukiisha basi nimekwisha?