Wanawake wa Kikenya

Wanawake wa Kikenya

Ndiyo Maana Wazee walisisitiza kuoa/kuishi na mtu ambaye mnafanana taratibu za kiutamaduni. haya ni makosa yanayoletwa na muingiliano wa tamaduni uliopo sasa. Pia vitabu vinasema "tuishi na wanawake kwa akili" vile unavyomjenga mwanzo ndivyo atakavyokuwa mbeleni. Unaweza kumtengeneza mwanamke wa aina yako na mkaenda vizuri. ni elimu ndefu sana kuandika.
 
Nimekuwa nikisoma kila opinion ktk hoja hii kwa umakini mkubwa sana sana wakati nikiendelea kutafakari whether niendelee na huyu bibie wa kikenya ama nimwache. Kuna meeengi sana yaliyosemwa humu ktk hii thread ambayo ni ya ukweli kabisa, mengine yako karibu na ukweli na mengine ni uongo tena wa over the board. Nitafanya maamuzi by the end of June 2011. Nawashukuru sana kwa mchango wenu! Mungu awabariki sana.
Nawombeni muendelee kunijuza kwani niko njia panda
Alamsiki
 
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza. Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita. Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi na shule kichwani imetulia, na ana career. Kiswahili ndio hicho hicho cha kuvunjavunja. Kwa kifupi so far tume-click!! Kila siku naona hapa jamvini sifa za wanawake mara wa Kirangi, Kichaga sijui Wahaya and so on.
Nahitaji kujua sifa za hawa wadada toka Kenya. Najua wengi wenu mmeshakumbana nao na mnawajua sifa na tabia zao. Nahitaji kujua wasifu wao ili nijue kabla sijafika nae mbali huyu demu wa baba Moi ili nijue kama kusuka ama kunyoa.
Natanguliza shukran zangu!!

weee jamaa yangu inabidi uwe mwangalifu na mademu wa kikenya,yaani mimi hawa nimekaa nao arusha wapo kibao,hata ungenilipia mahari sioi mkenya,hata ile kupiga chapchap sitaki,yaani ni midemu ya ovyoo yenyewe yanajua kila kitu
 
my friend thinks twice before do any thing cause when you fall in love no one caan come and help you,cause you could not hear the voice of help
 
Ikimchunguza kuku hutamla! kama umeridhika naye unataka kuchimba chimba mengine ya nini? haakuna hata mwanamke mmoja ambaye utamchimba na ukute nkila kitu positgive, wewe unataka mwnaamke au ukenya wake?
 
Wengi wao wako kikazi zaidi yaani kimaslahi zaidi, Pia wanatabia ya Umalaya hata kama wameolewa tunao wengi hapa dsm ndio wanpenda kulea vijana. Yupo nke wa Pilot mmoja yeye anagawa kama pipi kwa vijana na ana baa moja inapenda kujaa vijana inasemekana huyu ni jiko la mbuzi aka kikombe cha loliondo kimedunda. Achana nao sisi tumewaona wengi wanaofanya kazi mahotelini mpaka kwenye audit firms ni looser. Hawajipendi na ukitaka kumjua mkenya angalia viwigi na wanavyovaa utawafahamu tuu, hawapendi Kunyoa pia. Chini na juu. Japo mashine zao tamu kimtindo
 
Wengi wao wako kikazi zaidi yaani kimaslahi zaidi, Pia wanatabia ya Umalaya hata kama wameolewa tunao wengi hapa dsm ndio wanpenda kulea vijana. Yupo nke wa Pilot mmoja yeye anagawa kama pipi kwa vijana na ana baa moja inapenda kujaa vijana inasemekana huyu ni jiko la mbuzi aka kikombe cha loliondo kimedunda. Achana nao sisi tumewaona wengi wanaofanya kazi mahotelini mpaka kwenye audit firms ni looser. Hawajipendi na ukitaka kumjua mkenya angalia viwigi na wanavyovaa utawafahamu tuu, hawapendi Kunyoa pia. Chini na juu. Japo mashine zao tamu kimtindo

...makubwa!!!
 
Wengi wao wako kikazi zaidi yaani kimaslahi zaidi, Pia wanatabia ya Umalaya hata kama wameolewa tunao wengi hapa dsm ndio wanpenda kulea vijana. Yupo nke wa Pilot mmoja yeye anagawa kama pipi kwa vijana na ana baa moja inapenda kujaa vijana inasemekana huyu ni jiko la mbuzi aka kikombe cha loliondo kimedunda. Achana nao sisi tumewaona wengi wanaofanya kazi mahotelini mpaka kwenye audit firms ni looser. Hawajipendi na ukitaka kumjua mkenya angalia viwigi na wanavyovaa utawafahamu tuu, hawapendi Kunyoa pia. Chini na juu. Japo mashine zao tamu kimtindo


Duuu hiyo kwenye red ni kali
 
wakenya kwa ujumla ni shida tena kubwa sana maana wao wapo kimaslahi sana.wanawake wa kenya wanataka kuwa ndiyo wasemaji wa familia yaani kama wao ndiyo baba nyumbani,ukimwoa mkenya mtaishi maisha poa mwanzoni lakini mkishapata mtoto mmoja na akawa tayari amepata link za maisha kwa kipindi hicho basi kwao haoni shida kuondoka na kuanza maisha mengine na kukusahau kabisa. Baya zaidi hawakuachii mtoto lazima ataondoka nao.

kwa ufupi kama unataka kuoa kenya fikiri mara mbili lakini kama ni kusaidia au kuishi maishi ya nyumba ndogo waweza endelea ili ujue mengi zaidi
 
hehehe baba, usijaribu mkenya, imekula kwako haswaa huyo unayemwita mjaluo. nimeishi nao nawafahamu fika, ni watu wa majitapo kizazi chako kitakua cha majitapo. mkikuyu ndo balaa, oa ukiwa maskini ukipata mali jihesabie siku tumekusahau. mkamba wacha tu dear, uwe tayari kusugua kila siku tofauti na hapo anatoka nje. mmeru usiseme raha anaipenda ajabu. kwa ushauri ukitaka mkenya tafuta mmaasai, hana mambo mengi
 
hehehe baba, usijaribu mkenya, imekula kwako haswaa huyo unayemwita mjaluo. nimeishi nao nawafahamu fika, ni watu wa majitapo kizazi chako kitakua cha majitapo. mkikuyu ndo balaa, oa ukiwa maskini ukipata mali jihesabie siku tumekusahau. mkamba wacha tu dear, uwe tayari kusugua kila siku tofauti na hapo anatoka nje. mmeru usiseme raha anaipenda ajabu. kwa ushauri ukitaka mkenya tafuta mmaasai, hana mambo mengi

He can consult Mr Bakhresa......
 
hehehe baba, usijaribu mkenya, imekula kwako haswaa huyo unayemwita mjaluo. nimeishi nao nawafahamu fika, ni watu wa majitapo kizazi chako kitakua cha majitapo. mkikuyu ndo balaa, oa ukiwa maskini ukipata mali jihesabie siku tumekusahau. mkamba wacha tu dear, uwe tayari kusugua kila siku tofauti na hapo anatoka nje. mmeru usiseme raha anaipenda ajabu. kwa ushauri ukitaka mkenya tafuta mmaasai, hana mambo mengi

wewe ndio unawajua vizuri!
 
Nimekuwa nikisoma kila opinion ktk hoja hii kwa umakini mkubwa sana sana wakati nikiendelea kutafakari whether niendelee na huyu bibie wa kikenya ama nimwache. Kuna meeengi sana yaliyosemwa humu ktk hii thread ambayo ni ya ukweli kabisa, mengine yako karibu na ukweli na mengine ni uongo tena wa over the board. Nitafanya maamuzi by the end of June 2011. Nawashukuru sana kwa mchango wenu! Mungu awabariki sana.
Nawombeni muendelee kunijuza kwani niko njia panda
Alamsiki

tafuta mke hapa tanzania,wanawake wa kitanzania ni wazuri sana,achana na matatizo brother
 
ujiandae kaka maana hao ni wadhungu pori flani wa A.Mashariki, kifupi ni wachoyo,macho juu-pesa mbele, sasa na hizi extended family zetu ujipange..woote ndo zao unless ametembea tembea tz kusafisha nyota-ndioo wanavaaga mchuchumio na soks kama kipaimara
 
ujiandae kaka maana hao ni wadhungu pori flani wa A.Mashariki, kifupi ni wachoyo,macho juu-pesa mbele, sasa na hizi extended family zetu ujipange..woote ndo zao unless ametembea tembea tz kusafisha nyota-ndioo wanavaaga mchuchumio na soks kama kipaimara


hapa arusha wamejaa kila kona,kama kweli ndivyo walivyo basi hawafai hata chembe,
 
ujiandae kaka maana hao ni wadhungu pori flani wa A.Mashariki, kifupi ni wachoyo,macho juu-pesa mbele, sasa na hizi extended family zetu ujipange..woote ndo zao unless ametembea tembea tz kusafisha nyota-ndioo wanavaaga mchuchumio na soks kama kipaimara

yaani nimecheka hadi basi hasa hapo kwenye red!!!
 
hapa arusha wamejaa kila kona,kama kweli ndivyo walivyo basi hawafai hata chembe,
kama kakaa A Town kwa muda kidogo anaweza akawa tongox2 zishamtoka, ci unajua tz chuoo, A Mashariki yoooote binadamu (utu) yuko tz tuu..!
 
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza. Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita. Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi na shule kichwani imetulia, na ana career. Kiswahili ndio hicho hicho cha kuvunjavunja. Kwa kifupi so far tume-click!! Kila siku naona hapa jamvini sifa za wanawake mara wa Kirangi, Kichaga sijui Wahaya and so on.
Nahitaji kujua sifa za hawa wadada toka Kenya. Najua wengi wenu mmeshakumbana nao na mnawajua sifa na tabia zao. Nahitaji kujua wasifu wao ili nijue kabla sijafika nae mbali huyu demu wa baba Moi ili nijue kama kusuka ama kunyoa.
Natanguliza shukran zangu!!

mie sifa yao kubwa ninayoijua mkiwa mna do huwa wanapenda kulalamika kidhungu aisee, utasikia, ''ooh! baby, ****y me.......'' inaongeeza kamvuto, hahahahahahahahaha.....! KUWA MUAMINIFU, UKIMWI UPO NA UNAUA.
 
Back
Top Bottom