Smatta i think it's not about being soft many Kenyan women are so aggressive which sometimes people confuse it with arrogance, Tanzanian women are laid back.Hauwezani na wasichana wa Kikenya, utapelekwa shule bure na huo ustaarabu wako. kama anasema yuakupenda anakuenjoy tu, anataka kufagia hivyo vijisenti vyako kisha akwepe. wanaume wakibongo ni too soft for Kenyan ladies.
Next time i come to Nairobi you will be my host mazee lol!!!Hauwezani na wasichana wa Kikenya, utapelekwa shule bure na huo ustaarabu wako. kama anasema yuakupenda anakuenjoy tu, anataka kufagia hivyo vijisenti vyako kisha akwepe. wanaume wakibongo ni too soft for Kenyan ladies.
Next time i come to Nairobi you will be my host mazee lol!!!
Hahahaha!!!! Umenikumbusha ule mtaa wa Kimathi Nairobihe will be your host?kuna mkenya anaaminika kweli?naona kama atakuwa wa kwanza kukukaba!
he will be your host?kuna mkenya anaaminika kweli?naona kama atakuwa wa kwanza kukukaba!
Hahahaha!!!! Umenikumbusha ule mtaa wa Kimathi Nairobi
Hahaha!!! Mtafutie Rosemarie kijana mmoja kutoka Westlands atamfaa lol!!1Hahahaha.. Naona generalization yako inakufanya kipofu. Karibu finest, kama nitakuwa Kenya nita kuhost lol.. rosemarie pia wewe siezi maindi kukupa chumba cha kulalia, labda utajigonga na kijana wa Nairobi.
Nikija lazima niende pia Kikombaa aisee kule wana nguo nzuri sana Good Qualitynilisomea hapo Kimathi Primary school, we were staying in Buru Phase 2 back then.. lol... umenipa memmories ndugu yangu
Jamani kwa mtu ambaye hajawahi kuishi na mwanamke wa ki kenya ataona kama wanaonewa lakini mengi yanayosemwa kuhusu thread hii ni ukweli wa 90% na kama kuna mtu ayaishi na mkenya awe analeta visa vyao vya kila siku hapa utashangaa sana mimi sasa hata sina sababu ya kuendelea visa vya kila siku maana kila kukicha anakuja na mpya mpaka aibu
Ndugu nakwambia ukweli kabisa umeingia choo cha stendi maana hao wanawake hawafai kabisa
Ni much know sana
Hawana mapenzi (Angalia Martha Karua) hapo utapata majibu
Hawana moyo wa huruma wewe ukitaka uhakika nenda kenya
Halafu zungumza na wanaume watakueleza yote
Hawawataki wanawake wao wako kipesa zaidi HAWAFAI nawajua
Angalau ungempata Mluya kidogo afadhali hao wa nyanza umeliwa
Kuachan nje nje tu
Nitafute mie niko huku wananitaka wakati nimeolewa sababu eti mie mpole
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza. Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita. Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi na shule kichwani imetulia, na ana career. Kiswahili ndio hicho hicho cha kuvunjavunja. Kwa kifupi so far tume-click!! Kila siku naona hapa jamvini sifa za wanawake mara wa Kirangi, Kichaga sijui Wahaya and so on.
Nahitaji kujua sifa za hawa wadada toka Kenya. Najua wengi wenu mmeshakumbana nao na mnawajua sifa na tabia zao. Nahitaji kujua wasifu wao ili nijue kabla sijafika nae mbali huyu demu wa baba Moi ili nijue kama kusuka ama kunyoa.
Natanguliza shukran zangu!!
Hauwezani na wasichana wa Kikenya, utapelekwa shule bure na huo ustaarabu wako. kama anasema yuakupenda anakuenjoy tu, anataka kufagia hivyo vijisenti vyako kisha akwepe. wanaume wakibongo ni too soft for Kenyan ladies.[/QUOTE]
Ona sasa!! Tukipenda mnasema tuko soft!
Hauwezani na wasichana wa Kikenya, utapelekwa shule bure na huo ustaarabu wako. kama anasema yuakupenda anakuenjoy tu, anataka kufagia hivyo vijisenti vyako kisha akwepe. wanaume wakibongo ni too soft for Kenyan ladies.
nilisomea hapo Kimathi Primary school, we were staying in Buru Phase 2 back then.. lol... umenipa memmories ndugu yangu
Hapo kwenye red ndio toilets za vipi?Wacha uongo na zuga zako wewe, umekulia Kibera kwenye flying toilets na hivi hurudi kwenu kwa kuogopa Mungiki Brothers na ukimada huwezi acha. Endelea kukaa bongo tu. Nasikia mnakusanya pesa huko europe za East Africa hunger chijui hiyo East Africa ni nchi gani? tanzania hebu jiepusheni na hawa manyang'au wanatia aibu kila siku ni kuomba na kukinga bakuli kutoka kwa mabwana zao.
Hapo kwenye red ndio toilets za vipi?
Huo sio ubaguzi, huwezi kumwacha ndugu yako atoke kwenye uongofu aende kwenye giza bila kumshauri (wajibu) siyo kumlazimisha
Maana kutoka kwenye kumuabudu Mwenyezi Mungu moja hadi kuabudu sanamu ya yesu, mama yake yes (mama wa mungu) ni mwisho mbaya
Lakini akihiari aka insist hatuna ..no problem