Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Nyumba kubwa
Najua ni muumuni mkubwa wa ndoa! Lkn naomba nippngane na wewe as to y women remain married to bastards, l mean men who continuasly cheat. Shida kubwa ni fear! Dependence kwa wanaume ni kubwa sana, kiasi kwamba mtu anawaza ataanzaje, pili ni watoto (it happened to my mother, she was given everything to start afresh by my uncles, lkn alibaki because of us), pia imani za baadhi ya dini (mpaka kifo kiwatenganishe, ukidivorce ukapata mwingine, unazini na utaenda motoni) na mwisho ni muonekano wa jamii!
Kurudi kwako, eti ni mapenzi unless uniambie mapenzi yako sio selfish; lkn ya kwangu hasa ninapozimia kwa mtu, kuwa cheated inaniput off sana. Fanyiwa ubaya na mtu usiyempenda, haiumizi lkn somebody dear to u say ur mother; surely it will hurt! Mara moja waweza samehe lkn inajirudia mara kwa mara, u must be naive to go on forgiving; na sababu za kuvumilia zitakuwa nilizotaja hapo juu na so
Najua ni muumuni mkubwa wa ndoa! Lkn naomba nippngane na wewe as to y women remain married to bastards, l mean men who continuasly cheat. Shida kubwa ni fear! Dependence kwa wanaume ni kubwa sana, kiasi kwamba mtu anawaza ataanzaje, pili ni watoto (it happened to my mother, she was given everything to start afresh by my uncles, lkn alibaki because of us), pia imani za baadhi ya dini (mpaka kifo kiwatenganishe, ukidivorce ukapata mwingine, unazini na utaenda motoni) na mwisho ni muonekano wa jamii!
Kurudi kwako, eti ni mapenzi unless uniambie mapenzi yako sio selfish; lkn ya kwangu hasa ninapozimia kwa mtu, kuwa cheated inaniput off sana. Fanyiwa ubaya na mtu usiyempenda, haiumizi lkn somebody dear to u say ur mother; surely it will hurt! Mara moja waweza samehe lkn inajirudia mara kwa mara, u must be naive to go on forgiving; na sababu za kuvumilia zitakuwa nilizotaja hapo juu na so