wanawake wa kiafrica.......

Nyumba kubwa
Najua ni muumuni mkubwa wa ndoa! Lkn naomba nippngane na wewe as to y women remain married to bastards, l mean men who continuasly cheat. Shida kubwa ni fear! Dependence kwa wanaume ni kubwa sana, kiasi kwamba mtu anawaza ataanzaje, pili ni watoto (it happened to my mother, she was given everything to start afresh by my uncles, lkn alibaki because of us), pia imani za baadhi ya dini (mpaka kifo kiwatenganishe, ukidivorce ukapata mwingine, unazini na utaenda motoni) na mwisho ni muonekano wa jamii!

Kurudi kwako, eti ni mapenzi unless uniambie mapenzi yako sio selfish; lkn ya kwangu hasa ninapozimia kwa mtu, kuwa cheated inaniput off sana. Fanyiwa ubaya na mtu usiyempenda, haiumizi lkn somebody dear to u say ur mother; surely it will hurt! Mara moja waweza samehe lkn inajirudia mara kwa mara, u must be naive to go on forgiving; na sababu za kuvumilia zitakuwa nilizotaja hapo juu na so
 
wanachukulia cheating ya mwanaume kama everyman s habit unlike women in the west,hawatolerate cheating ndio maana kwao divorce rate ziko juu compared to africa,

nauliza je hatuko confident kama wanawake wa mabara mengine?nani alitufundisha kutolerate cheating?wazazi wetu au?

Wanawake wote walioolewa na ambao bado wakibana miguu kwa mwanaume si mume wake basi suala hili ambalo unaliona kama tatizo kwa mwanaume litakwisha: kwa kifupi tatizo la ku-cheat ni mwanamke kusimama mguu upande muda wote!!
 
wewe usipotoshe wenzio hapawanaume wa kiafrika kwa miaka mingi tuna ruhusiwa kuwa na wake wengiutamaduni wa kuwa na mwanamke mmoja sio wa kiafrikaumeletwa na wazungu na bado tunajifunzawale wanaoshindwa sio kuwa wana cheatbali wanachumbia........mwanaume wa kiafica ha-cheatila anachumbia
uko sahihi kabisa Mkuu!
 
very good insight! hillary clinton amebaki na bill mainly for political reasons na ilimpa umaarufu alionao sasa. huyo vic bekham nae ni strategic tu, kuwa na david kunaongezea kidogo umaarufu wa uturi na lotions zake! high time wanawake wa kitanzania kuamka usingizini! nina rafiki, 28 yrs old. ana hbp, on constant medication kwa ajili ya stress ya mume. she is got a very good and paying job, lakini anasema mume wa kuuzia sura mjini. wtf!
Je hao wote bado wako kwenye ndoa? Or hizo ndoa zinafunction? Kwa case ya Clinton for example, r they real a couple kwa ndani au on the outside tu?Mtoa mada alisema, westerners don't takebulls..t kwenye ndoa n that's y divorce rate ni kubwa tofauti na huku; na mimi nafikiri ndio maana huku rate ya maambukizi ya VVU kwa wenye ndoa ni kubwa kuliko kwa wenzetu! Imagine kina mama unavumilia ndoa for the sake ya watoto after few yrs, unakufa kwa ukimwi!
 
i am so disappointed in u! if it happened to ur mama, sister or daughter, would u give such a broad smile and tell them to chill out coz its african culture? na ndoa zinazoruhusu mke zaidi ya mmoja zina utaratibu wake nadhani! no excuses!
unaanzisha mada huku uelewa wako mdogo kabisaunajua tafsiri ya mke???????unajua culture inayoruhusu ndoa zaidi ya mwanamke mmoja vizuri?wanawake wangapi matajiri na wanaolewa mitala?aliekwambia waafrica walitembea uchi zamani ni nnani?unaijua historia wewe vizuri??????
 
You can practize itasaidia sana kuwafanya muweze kuwa na mawazo ya kujitegemea na kuondoa mawazo potofu ya kujidhalilisha kwa pesa.
 
........natamani hili somo kila mwanamke apate, hakuna kuoneana kwenye mapenzi siku hizi. Yaani I wish kila mwanamke aambiwe ukiona mumeo anacheat muache. Mimi roho yangu inauma kuona wadada wanakufa bado wadogo sababu ya kuvumilia kwenye ndoa ambayo mume alikuwa cheater.
Tatizo baadhi ya wanawake wanategemea wanaume kiuchumi, hivyo hata mumewe akiwa anacheat inakuwa ngumu kutoka kwenye ndoa.



You have said it all!

However, this does not mean that when women cheat should be accepted!
 
........natamani hili somo kila mwanamke apate, hakuna kuoneana kwenye mapenzi siku hizi. Yaani I wish kila mwanamke aambiwe ukiona mumeo anacheat muache. Mimi roho yangu inauma kuona wadada wanakufa bado wadogo sababu ya kuvumilia kwenye ndoa ambayo mume alikuwa cheater.
Tatizo baadhi ya wanawake wanategemea wanaume kiuchumi, hivyo hata mumewe akiwa anacheat inakuwa ngumu kutoka kwenye ndoa.
Pretty,
Ukimkimbia mumeo kwa sababu kwamba anacheat, je, huyo unayempelekea ni nani? je, alikuwa anakusubiri ndio aanze kufanya mapenzi au naye atakuua kama ambavyo mumeo angekuua?
 
wewe usipotoshe wenzio hapa

wanaume wa kiafrika kwa miaka mingi tuna ruhusiwa kuwa na wake wengi
utamaduni wa kuwa na mwanamke mmoja sio wa kiafrika
umeletwa na wazungu na bado tunajifunza
wale wanaoshindwa sio kuwa wana cheat
bali wanachumbia........
mwanaume wa kiafica ha-cheat
ila anachumbia


Ukweli mi siamini sana kwenye talaka maana Mungu anasema "nachukia kuachana" ila maneno hayo niliyobold yamenisikitisha sana.
 
Kwa nini niwe na mke mmoja kwani mimi ni ndege???????????????????????????? Nyumba ndogo poaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
thanks,uelewa wangu mie mdogo why bother answering my posts.....???
hakuna mwanamke anayekubali kushare mwanaume na mwanamke mwingine UNLESS ana sababu either watoto au kiuchumi ni dependent...period...
sasa unabisha kuwa hata nguo ni utamaduni tulioletewa??????mnh mie ligi zisizo na kombe siziwezi.....



Wadada jamani hebu tusisidanganyane katika hili.
Wadada wengi siku hizi wanapenda kuwa na uhusiano na wanaume ambao tayari wako ndani ya ndoa. Nadhani wanaume wenzangu tutakubaliana na hili kabla hujaoa mabinti walikuwa hawajileti sana kama baada ya kuoa.
na kwa mwanaume wa kiafrika kuwa na wake wengi hiyo ni moja ya heshima, hii kusema mke moja ni kuiga mambo ya ugenini. hata ukitaka kuingia kwenye maandiko Mfalme Suleimani alikuwa na wake wengi na masuria (Girl friends) wakutosha.
sasa ninyi mnapotoshana bure.

kama unatimiziwa mahitaji yako ya msingi dont complain ila hakikisha mumeo is playing safe.

Mtazamo tu!!!!!
 
Back
Top Bottom