Jamani acheni mzaha na makabila ya watu. uchafu wa Wamasai uko wapi?Wamasai
Jamani acheni mzaha na makabila ya watu. uchafu wa Wamasai uko wapi?
Kudumisha mila ndiyo uchafu?
Wamasai sisi si wachafu, ndo hvhv tulivyo asilia.
Una hakika kuwa hujengi mazingira ya kudharau kabila mojawapo hapa nchini Nazjaz? PLEASE THINK TWICE uone kama wakiamua kuanza kudharauliana humu utafaidi nini???
Mtoa mada ana point nzuri sana na sijaona kashfa yoyote katika swali lake na kwenye hili lazima tuwe wakweli kuwa kuna makabila uchafu ni asili yao au inawezekana mazingira yao yanawafanya wawe hivyo,mfano mdogo tu mimi sijawahi kukutana na mwanamke wa kisomali msafi,na mbaya zaidi kuna wakati nikiwa Tabora nilimkaribisha binti mmoja wa Kisomali nyumbani kwangu ,asubuhi nataka kwenda kuoga namkuta anatoka msalani kashikilia sufuria nililokuwa natumia kupikia chai....Huyo ni mmoja tu na nimekutana nao wengi tu wenye tabia mbayambaya zisizoelezeka...
Toka zako,
si U prost wako uliokufanya uopoe Msomali wakati Wabongo wenzio tupo.
Nikikukamataaaaaaa.............