Uchaguzi 2020 Wanawake wa Jiji la Mbeya wamlipia fomu Mbunge wa milele wa jimbo hilo, Joseph Mbilinyi(Sugu) na kumpelekea nyumbani kwake

Hivi jiji la Mbeya lina askari polisi wangapi? Kwenye uchaguzi mkuu hakuna kuomba msaada wa polisi eneo jingine, kila mmoja anapambana na hali yake. Wananchi wakigangamala hakuna kura ya kuibiwa, labda mawakala wawe wazembe!
Polisi wanaweza wasaidia kwenye chaguzi za marudio tu, uchaguzi mkuu awatoshi nchi nzima ni wachache.
 
7 Julai 2020
Mbeya, Tanzania

WAZEE WA KIMILA MBEYA WAMCHANGIA DR. TULIA ACKSON, FOMU YA UBUNGE



Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi. Tulia Ackson Mwansasu akutana na viongozi wa kimila (machifu) walioongozwa na Chifu Mkuu wa Machifu wa Rungwe Chifu Joel Burton Mwakatumbula ili anapokwenda kutia nia wanampa kichache na kumtakia kila la kheri anapokwenda kugombea.
Source : MbeyaYetuOnlineTV
 
sioni mtu wa kumtoa sugu hapa, wapo wanaojaribu kwa kutoa misaada lakini wanachosahau ni kwamba sugu yupo mioyoni mwa wana mbeya na sio mifukoni.

yupo mioyoni mwetu, Hata wakimsingizia haleti maendeleo tunabaki kucheka tu maana kodi tunakusanya nyingi tu na sugu hahusiki kwenye kupanga hio kodi tunayokusanya itumikaje.
 
Huyo DED aambiwe mapema watu wanaiwinda shingo yake akileta ungese! Safari watu wanagawana mbao, huu upuuzi unawezekana tu kwenye chaguzi za marudio, lakini kwenye uchaguzi mkuu ambao kila mgombea, akiwemo wa urais naye anakuwa anapambana na hali yake, wananchi wakijipanga sawa sawa, DED na polisi wa Mbeya hawawezi kuudhibiti umati wa wana Mbeya wakiamua!
Nadhani Ma Ded watakua wanatangaza matokeo huku familia zao wameshaziondoa mkoa husika na akimaliza kutangaza tu hapo hapo anaondolewa kwa kasi na kuhamishwa kituo cha kazi kabisa aisee.
 
Sugu ni mhuni na mvuta bange tu! tena anajisifia kuongea na Bob hebu msikize hapo chini!!sijui kwanini wana Mbeya hawauoni uhuni wake!! na jela ashaenda! sidhani kama atakamilisha kujaza vipengele vyote kwa wakati huku tayari inajulikana ni mropokaji na hatarudi mjengoni kama DJ Makengeza, Halima, Esters, John na wengine na hata wakiingia kwenye upigaji kura bao la mkono la mkurugenzi ni halali yao! hatutaki tena kelele za wapinga juhudi mjengoni!!


mkuu subiri dawa ikuingie vizuri,
 
7 Julai 2020
Mbeya, Tanzania

WAZEE WA KIMILA MBEYA WAMCHANGIA DR. TULIA ACKSON, FOMU YA UBUNGE



Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi. Tulia Ackson Mwansasu akutana na viongozi wa kimila (machifu) walioongozwa na Chifu Mkuu wa Machifu wa Rungwe Chifu Joel Burton Mwakatumbula ili anapokwenda kutia nia wanampa kichache na kumtakia kila la kheri anapokwenda kugombea.
Source : MbeyaYetuOnlineTV

Huyu bila shaka kakimbia Mbeya Mjini , Saul ajiandae
 
Nadhani Ma Ded watakua wanatangaza matokeo huku familia zao wameshaziondoa mkoa husika na akimaliza kutangaza tu hapo hapo anaondolewa kwa kasi na kuhamishwa kituo cha kazi kabisa aisee.
mkuu umepiga chura teke na kumuongezea mwendo umeeleza vizuri zaidi sayansi ya wizi wa kura na bao la mkono inavyotakiwa kufanyika practically kuhakikisha ile timu nzima ya waropokaji wanaopinga juhudi inabaki mtaani maana bunge ndio platform yao kubwa ukiwatoa mjengoni DJ Makengeza na kampuni yake kwanza watakosa pesa na nguvu ya kufanya uchochezi na watasambaratika!!

Sugu, Professa J, ZZK na DJ and co kwa maslahi ya nchi hawapaswi kurudi mjengoni mbinu ni hiyo tayari ipo na nzuri kabisa!!
 
View attachment 1499535

Hili kwangu ni jambo jipya kidogo, kwa wanawake wenye uwezo wa kawaida kumlipia fomu Mbunge mstaafu mwenye marupurupu kibao, si jambo la kawaida hata kidogo.

Ama kwa Hakika kutoa ni moyo.
Tulia lazima ashinde hata kwa kuiba kura au kwa ubabe sidhani kama watamuacha naibu speaker ashindwe na watakuwa wamejipanga kutimiza hilo hata kwakutumia nguvu hadi watu walale
 
5 Julai 2020
Mbeya, Tanzania

CCM NYANDA ZA JUU KUSINI : Walalama na kusema tumechoka kuongozwa na upinzani.



Sasa CCM lazima tuchukue hatua dhidi ya wasaliti walio ndani ya chama maana subira ya kungojea imekuwa ndefu na lazima tufanye hima tusikose kupata kura nyingi za wananchi 2020 hapa mkoani Mbeya.

Source : MbeyaYetuOnlineTV
Kazi ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom