Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,731
- 225,389
Haya sasa7 Julai 2020
Mbeya, Tanzania
WAZEE WA KIMILA MBEYA WAMCHANGIA DR. TULIA ACKSON, FOMU YA UBUNGE
Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi. Tulia Ackson Mwansasu akutana na viongozi wa kimila (machifu) walioongozwa na Chifu Mkuu wa Machifu wa Rungwe Chifu Joel Burton Mwakatumbula ili anapokwenda kutia nia wanampa kichache na kumtakia kila la kheri anapokwenda kugombea.
Source : MbeyaYetuOnlineTV
Siasa Kama movie vile jamani
Sent using Jamii Forums mobile app