Wanawake wa JF badilikeni!

Wanawake wa JF badilikeni!

Status
Not open for further replies.
hahaaaaaaa
ulifikiri atatokea kama maneno yake na avatar yake?
 
UUUUUUUUUPSIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
MASTERS AT UDSM????hii do research na majibu yake????

ivi hiyo thinking capacity ifanye iwe ya busara??eti wasichana wa JF?? kwenye PM ulikuwa mwenywe sasa iweje ulalamike? malkia wa KIAFRIKA ulimuumba wewe/????
HIGH EXPECTATION pole yako watu wavavyochangia hpa in REALITY hawapo kiivyo huenda hata yeye alitarajia kumpata HANDSOME with SIX PACKS ila kakukuta wewe
 
Shaloom Wakuu!
Hii ni kwa ajiliya wale inayowahusu tuu! Kama haikuhusu thn soma kimyakimya halafu tembea.

Juzi Ilikua mara nyingine tena mimi kukutana na mdada mmoja wa JF. Mimi ndo nilimuanza baada yakuona anajisifu na kujiona sana kwenye sector ya relationship. Niliona ngoja nione ujasiri wa huyu dada maana kupitia post zake anajiremba visivyorembeka, anajisifu visivyo sifa, anaponda wenzake haswa wakina kaka.

Bila hiyana dada wa watu alikubali kukutana na mimi maeneo ya Survey pale Brajec, nilitajia kuona malaika wa kiafrica, nilitamani muda uende ili nione huyu sweet mtoto anyejiona hana kasoro kwenye post zake.

Simu yangu ya mchina iliita, na nikaipokea na kumuelekeza nilipokaa. baada kama ya dakika mbili hivi, alitokea mdada mfupi mweupe kiasi, kavaa sketi fupi, viatu virefu, na weaving flani hivi.

Sasa mwonekano wake kwa kweli ulinichefua, alikua anafanana na Malaya wa Kinondoni Leaders hivi, kibaya zaidi ni pale weaving lake lilipo peperushwana upepo hee kumbe dada wa watu anapara tenu chupa.

Aisee niliumbuka na kuumi a sana, mdada anajisifia nyuma ya keyboard lakini in reality ni shakunaku tu. Huyu ni dada wa tatu ninayekutana naye kutoka JF, na wengi wao huwa wanajitangaza wenyewe eti wanataka wenza.
Jamani badilikeni. Be yoselves!

Samahani kama nimekuudhi.

Aseeee hiii story ya kutunga imekaa poa sna
 
Mkuu haina haja ya kumbwatukia, kwani katoa angalizo

(Hii ni kwa ajiliya wale inayowahusu tuu! Kama haikuhusu thn soma kimyakimya halafu tembea.)

Binafsi sijapenda alichofanya, lakini pia hakutaja jina wala kuweka avatar, sio tatizo sana. Na ametoa angalizo la watu kuwa wahalisia..Tusijipandishe sana

kumbe kutoa mawazo ni kubwatuka
 
Yakhee wee ndiyo huna adabu kweli !!!!! Sasa ya nini kumdhalilisha na kuja kumkashifu au kukashifu sistaz wa JF !! wewe ndiyo uliyemuumba? weka heshima na upotezee.
Hopeless man....! aibu hata kujiita dume.
 
hapana mkuu mimi angekuja huku analia kwa sura ambayo angekutaa anyo afu nakula nakunywa bila kujali angejuta
Sasa ndio mchukue tahadhari, mambo ya kukutana na watu wa jf sio afya. Hahaha mkuu, Ulivyo sisitiza hiyo sura mpaka unanivuta PM nkutafute private.
 
Sasa ndio mchukue tahadhari, mambo ya kukutana na watu wa jf sio afya. Hahaha mkuu, Ulivyo sisitiza hiyo sura mpaka unanivuta PM nkutafute private.

ha h ha ha ha hah a kama unahamu ya kulia njoo.... ole wako baada ya kulia ulete maneno huku jukwaani
 
Yakhee wee ndiyo huna adabu kweli !!!!! Sasa ya nini kumdhalilisha na kuja kumkashifu au kukashifu sistaz wa JF !! wewe ndiyo uliyemuumba? weka heshima na upotezee.
Hopeless man....! aibu hata kujiita dume.

Halaf atuwekee hapa dada zake wote tuone kama ni wakaleee
 
ha h ha ha ha hah a kama unahamu ya kulia njoo.... ole wako baada ya kulia ulete maneno huku jukwaani
Mimi sitajutia, ila hata kama unatisha nagegeda kwanza, kama kujuta baadae..I have to complete the mission first.
Hizi ndio hasara za Easy target
 
huyu jamaa hana tofauti na holygrail!

vinginevyo naomba niseme tu ni yeye!!!

majuzi alikuja na kusema wadada wanamsumbua sana pale CoET.. tukakausha!

kipindi kile kasema wahaya ooh waache kujiuza, tukakausha! leo hii tena anakuja kuponda wabebez wa JF!

umechefua meeen! no perfect woman in this world, no man too!

next time time you post, dont use molasses, spices and flavorings (konyagi)
hahahaha
umeonaeeeh bora umemwambia ukweli
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom