Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,352
- 108,471
Aiseeeee makubwaaaa hahahhhahhhahhahahhha
Nimekugusa wapi bi mkubwa hadi watoa cheko kubwa kama mbaazi zipasukazo juani, au naw wataka nami nikuandikie sredi
Aiseeeee makubwaaaa hahahhhahhhahhahahhha
Hahaha....ngoja mimi nikae kando niendelee kuisoma tu hii movie mpwa maana hata sielewi mleta mada kaguswa na nini hasa hadi kaja hapa.
Ananikumbusha kisa kimoja kilitokea hapa hapa jamvini mwaka jana, kuna jamaa kaenda zake Steers pale Posta Mpya kufanya miadi with so called "Mdada wa JF", basi kufika hapo anasema aliingia mdada ana sura kama chapati iliyochomwa bila mafuta...
Kesho yake tu yule jamaa akaja hapa jamvini kushusha thread ya madongo kama huyu, haijapita wiki yule mdada wa JF naye akashusha thread yake naye kujibu mapigo...
Nimekugusa wapi bi mkubwa hadi watoa cheko kubwa kama mbaazi zipasukazo juani, au naw wataka nami nikuandikie sredi
Hahaha....ngoja mimi nikae kando niendelee kuisoma tu hii movie mpwa maana hata sielewi mleta mada kaguswa na nini hasa hadi kaja hapa.
Ananikumbusha kisa kimoja kilitokea hapa hapa jamvini mwaka jana, kuna jamaa kaenda zake Steers pale Posta Mpya kufanya miadi with so called "Mdada wa JF", basi kufika hapo anasema aliingia mdada ana sura kama chapati iliyochomwa bila mafuta...
Kesho yake tu yule jamaa akaja hapa jamvini kushusha thread ya madongo kama huyu, haijapita wiki yule mdada wa JF naye akashusha thread yake naye kujibu mapigo...
ana bahati angekutana na mimi angekoma aisee kukutana na mtoto sura ngumu tena sura haijua hat kutabasamu loh angejuta kuni PM