miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
tatizo wewe ulitengeneza mtu wako kichwani alipofika mwenyewe ndo ukakutana kitu chenyewe hata ulishindwa omba picha kwanza ukome kudandia wadada wa watu... hapa 99% ni fake
tatizo wewe ulitengeneza mtu wako kichwani alipofika mwenyewe ndo ukakutana kitu chenyewe hata ulishindwa omba picha kwanza ukome kudandia wadada wa watu... hapa 99% ni fake
Mhhhhhh...tatizo wewe ulitengeneza mtu wako kichwani alipofika mwenyewe ndo ukakutana kitu chenyewe hata ulishindwa omba picha kwanza ukome kudandia wadada wa watu... hapa 99% ni fake
na kweli mwenzangu, aliwaza tofauti na atakachokiona hapa...Lakini tujifunze na tukumbuke humu kuna mapapa,watu na visiginoyani sio vzr kabisa ukute dada wa watu alienda kukutana nae kwa nia njema kabisa akijua finally labda ameshapata mwenza, sasa leo akifungua akakuta thread kama hii unazani self esteem yake itakuaje?
ungemgonga kabisa ili utuambie na ubora wa engine........Shaloom Wakuu!
Hii ni kwa ajiliya wale inayowahusu tuu! Kama haikuhusu thn soma kimyakimya halafu tembea.
Juzi Ilikua mara nyingine tena mimi kukutana na mdada mmoja wa JF. Mimi ndo nilimuanza baada yakuona anajisifu na kujiona sana kwenye sector ya relationship. Niliona ngoja nione ujasiri wa huyu dada maana kupitia post zake anajiremba visivyorembeka, anajisifu visivyo sifa, anaponda wenzake haswa wakina kaka.
Bila hiyana dada wa watu alikubali kukutana na mimi maeneo ya Survey pale Brajec, nilitajia kuona malaika wa kiafrica, nilitamani muda uende ili nione huyu sweet mtoto anyejiona hana kasoro kwenye post zake.
Simu yangu ya mchina iliita, na nikaipokea na kumuelekeza nilipokaa. baada kama ya dakika mbili hivi, alitokea mdada mfupi mweupe kiasi, kavaa sketi fupi, viatu virefu, na weaving flani hivi.
Sasa mwonekano wake kwa kweli ulinichefua, alikua anafanana na Malaya wa Kinondoni Leaders hivi, kibaya zaidi ni pale weaving lake lilipo peperushwana upepo hee kumbe dada wa watu anapara tenu chupa.
Aisee niliumbuka na kuumi a sana, mdada anajisifia nyuma ya keyboard lakini in reality ni shakunaku tu. Huyu ni dada wa tatu ninayekutana naye kutoka JF, na wengi wao huwa wanajitangaza wenyewe eti wanataka wenza.
Jamani badilikeni. Be yoselves!
Samahani kama nimekuudhi.
Kwani wewe ni handsome?
Uzur wa mtu upo machon pa mtu. Kama ww hukumpenda kwann unamkejeri? Kwan ww ni mzur na unapendwa na wote........ Acha tabia za wamama wa kizaramo mtoto wa kiume. Amang'ana
Mhhhhhh...
Hapa JF kutakua na mtandao mkubwa sana wa ngono,,,Chini chin watu na PM zao, yakiwaharibikia wanakuja kutupa thread za kuaibishana....So funny. Ukitaka kumfuata mtu PM utujulishe pia ili kuepusha haya yote.
heri mm na ww! Karibu mtori
ana bahati angekutana na mimi angekoma aisee kukutana na mtoto sura ngumu tena sura haijua hat kutabasamu loh angejuta kuni PM