Wanawake wa JF badilikeni!

Wanawake wa JF badilikeni!

Status
Not open for further replies.
Mimi napita nimesoma kimyakimya kwakuwa hainihusu na yalishanitokea mmoja akaenda mbali zaidi akitaka kujua kama ninamahusiano nikamuuliza kwani wewe ulitakaje nataka mume siyo mtu wakunipotezea mda nikamwambia bora umesema maana nileo tumekutana na leo unataka uwemke mhm!
 
sasa yeye sijui alitaka demu wa aina gani mtoto kaingia gharama hadi ya wigi afu anaponda aisee chalii mbaya huyu
Mdada wa watu kajikoki, simpatii picha alivyojipanga..Kama nawaona vile pale brajec, hahaha very funny!!!!
 
sasa yeye sijui alitaka demu wa aina gani mtoto kaingia gharama hadi ya wigi afu anaponda aisee chalii mbaya huyu

huyu dogo bado. Wenzie hawatoi siri hizo hata kama mbaya vp we siku hyo ya kwanza unafumba macho unagegeda hivyohvyo halafu unaiweka blacklist
 
Mdada wa watu kajikoki, simpatii picha alivyojipanga..Kama nawaona vile pale brajec, hahaha very funny!!!!

ila huyu anaweza kuwa kundi la kati kati mwanume anayejielewa awezi fanya hivyo ... huyu jamaa jing sana
 
huyu dogo bado. Wenzie hawatoi siri hizo hata kama mbaya vp we siku hyo ya kwanza unafumba macho unagegeda hivyohvyo halafu unaiweka blacklist

mmhh kudadeki ukila mzigo uniweke blacklist si sawa ... jamaaa alitengeneza demu wake kichwani akaja mwingine
 
ila huyu anaweza kuwa kundi la kati kati mwanume anayejielewa awezi fanya hivyo ... huyu jamaa jing sana
Yah, watakua vijana, damu inchemka kidogo. Haya mambo yalikua sana FB miaka ya nyuma kidogo, nadhani siku hizi hakuna tena.
 
mmhh kudadeki ukila mzigo uniweke blacklist si sawa ... jamaaa alitengeneza demu wake kichwani akaja mwingine

usikute jamaa kichwan alitengeneza picha kama yako vile halafu kufika anaikuta sura kama imetoka depo la komando hahahaa
 
bora nihamie tandale kwa tumbo sasa!
 
Mtu anaejielewa mambo ya nje ya JF ni yakuacha huko huko, mmegegedana au mmeshindana sioni umuhimu wa kuyaleta Humu, kama mlivyotongozana pm mmalizane wenyewe huko nje.
 
Mimi napita nimesoma kimyakimya kwakuwa hainihusu na yalishanitokea mmoja akaenda mbali zaidi akitaka kujua kama ninamahusiano nikamuuliza kwani wewe ulitakaje nataka mume siyo mtu wakunipotezea mda nikamwambia bora umesema maana nileo tumekutana na leo unataka uwemke mhm!
Kumbe wahanga wengi!!!!
Jf raha sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom