KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,905
- 9,331
Mimi napita nimesoma kimyakimya kwakuwa hainihusu na yalishanitokea mmoja akaenda mbali zaidi akitaka kujua kama ninamahusiano nikamuuliza kwani wewe ulitakaje nataka mume siyo mtu wakunipotezea mda nikamwambia bora umesema maana nileo tumekutana na leo unataka uwemke mhm!