SOCIOLOGISTTZ
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,615
- 929
unatumia akili kuchambua hoja,alafu hajasema wabadilike nini? kimavazi au waache kukutana na wanaume wa kwenye mitandao?
unatumia akili kuchambua hoja,alafu hajasema wabadilike nini? kimavazi au waache kukutana na wanaume wa kwenye mitandao?
Mimi sitajutia, ila hata kama unatisha nagegeda kwanza, kama kujuta baadae..I have to complete the mission first.
Hizi ndio hasara za Easy target
tatizo wewe ulitengeneza mtu wako kichwani alipofika mwenyewe ndo ukakutana kitu chenyewe hata ulishindwa omba picha kwanza ukome kudandia wadada wa watu... hapa 99% ni fake
siyo mtu fake ila we use to fake in jf... we are not realKwa taarifa yako Mungu hajaumba mtu feki wote ni Original,futa kauli yako
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unasema???!!!!
Kwan hujanisikia kaka yangu au kunielewaa,yeye anasema dada wa watu wabaya atuwekee na wake hapa tuwaonee
Matambo ya mtu ndo yanakupa shauku ya kumjua undani wake mfano.kila siku anaandika wanawake wazuri kama huna pesa wataishia kuwa dada zako,hii itakufanya utake kujua sura yake inaonekanaje,mara gali langu la tatu nimelichukua bandarini leo.
Ha ha haaaa usijenirukia kwa hasira bure!!!!!!
Nawe ukiitwa dadangu usikimbilie mialiko utanitia aibu mie!!!!
hahahahhahaaa umenichekesha sana, ila pia unavyowafanyia wenzio sio vzr kaka, kwani we nia yako ya kukutana nao ni nini hasa? je na wewe unatafuta mwenza au? kama ndivyo ukikutana na mtu ukaona hakufai kaa kimya sio kuja kuwadhalilisha humu
Siwez kukurukiaa wewe tenaa!!!aaaa mi mitoko kwangu haipo bana nisharizika na shemeji yako ananipenda jinsi nilivyo siwez kukuaibishaa
Mmmmh...kwani yeye ndio huyo mdada wa JF mwenye kipara kama kalio la kibuyu?
Mmmmh...kwani yeye ndio huyo mdada wa JF mwenye kipara kama kalio la kibuyu?
Ha ha haaaa mpwa hayo maelezo yaliyotolewa akili yangu haiwezi kuwa inani danganya!!!!