new level
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 269
- 567
Nilimpataga mmoja Alikuw bikra ila yule Dem ata mje na mapambio siwezi mrudiaBado bikra itabaki kuwa kigezo sema ndo ungezee mavigezo mengine sasa unayoyataka kama hivyo asiwe mchoyo, gubu nk...
Nilimpataga mmoja Alikuw bikra ila yule Dem ata mje na mapambio siwezi mrudiaBado bikra itabaki kuwa kigezo sema ndo ungezee mavigezo mengine sasa unayoyataka kama hivyo asiwe mchoyo, gubu nk...
Una uhakika kua wamasai pekee ndio wana hizo tamaduni?Wale wamasai ni utamaduni wao wanatoboa masikio na kiweka hereni apo anazungumzia hawa wa mjini acheni kujificha kwa wamasai
Duh!
Pole sana kizazi hichi kimeanza kupotea..kilichoanza kuingia sasahivi hayo ni mambo ya kawaida sana..huoni kajala na mwanae..shooshoo.Hapa hakuna chuki, tunatoa maelekezo kwa vijana wanaotafuta wake.
Wanawake wa namna hii ishia kula tu, usidhubutu kuoa.
1. Wanaovaa vikuku. Kama unabisha mpeleke kwa mama yako akiwa na kikuku.
2. Waliotoboa pua.
3. Wanaovaa suruali za kubana na vimini. Kama unabisha mpeleke kwa baba yako akiwa na mini.
4. Wanaopenda club na pombe kwa wingi.
5. Waliojichubua,anakuwa kama kapanya kamepakwa unga.
6. Wanaotoa kinyume na maumbile.
7. Wanaopanda vyeo kisiasa sababu ya kuwa karibu na wazee wa chama,wakati mweupe.
8. Mwanamke asiye na akili.
9. Mwanamke mwenye tatoo
10. Mwanamke anayetumia tako kama msingi wa biashara
11. Mwanamke msela kujimiksi na wavulana ni laana.
Ongeza na wewe bila chuki
Kuhus vikuku tenaa bhnaa! Je Kam bwan kakubali nivaeHapa hakuna chuki, tunatoa maelekezo kwa vijana wanaotafuta wake.
Wanawake wa namna hii ishia kula tu, usidhubutu kuoa.
1. Wanaovaa vikuku. Kama unabisha mpeleke kwa mama yako akiwa na kikuku.
2. Waliotoboa pua.
3. Wanaovaa suruali za kubana na vimini. Kama unabisha mpeleke kwa baba yako akiwa na mini.
4. Wanaopenda club na pombe kwa wingi.
5. Waliojichubua,anakuwa kama kapanya kamepakwa unga.
6. Wanaotoa kinyume na maumbile.
7. Wanaopanda vyeo kisiasa sababu ya kuwa karibu na wazee wa chama,wakati mweupe.
8. Mwanamke asiye na akili.
9. Mwanamke mwenye tatoo
10. Mwanamke anayetumia tako kama msingi wa biashara
11. Mwanamke msela kujimiksi na wavulana ni laana.
Ongeza na wewe bila chuki
Tutadate ila lengo ni kuwatafuna tu ..Kwa sababu hizi basi mbaki single tu maana kasoro kama zote mnatoa
Mwanamke msomi ndie mzuri....mwanamke mjinga aende kwa baba yake
Ndio maana wanaishia kuliwa tu hao kina Kajala na mwanae. hivi kweli mtu na akili zako unaweza kuoa Kajala?Pole sana kizazi hichi kimeanza kupotea..kilichoanza kuingia sasahivi hayo ni mambo ya kawaida sana..huoni kajala na mwanae..shooshoo.
#MaendeleoHayanaChama
Huku uswahilini tunasema Kuna wazazi Wana Siri na watoto wao...hao mabinti huwa hawaolewagi hao.Tufafanulie hapa kidogo mzee weka nyama kidogo
Anakukausha hela tu.⚠️ mwanamke ambaye hapitwi na shughuli, kila shughuli inakijora chake, huyu usijaribu hata kumkaribia
Kumbewalioolewa wanatumikia ndoa sahizi