Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,137
- 27,088
Na unakuta yeye ndo adminMwenye groups za whatsapp za ajabu ajabu huyo kaa naye chonjo
Hawa wa kujichubua hata me HAPANA napenda sana mwanamke awe na natural color hata kama ni mweusi (my favorite) kama mkaa au mweupe awe na rangi yake OG, rangi za kuboost na calorite sizitaki aende akasaidie viwanda vya vipodozi kutest bidhaa zao kama vipi.
Mpemba mimi was hereHiyo Namba 6 itakudanganya Mkuu...asipotoa kwako; kuna sehemu atakwenda kutoa. Hivyo ni heri uile tu...isiwe kigezo cha kuacha kuoa.
Atakua analiwa na mchungaji huyo au mweka hadhina wa kanisa..Demu ambaye yupo tayari kukopa hela awe na madeni ili tu apeleke kanisani.... huyo ni wa kumla na kuamsha.... no discussion...
Ninaye mmoja wa sampuli hiyo
kuna jamaa huwa anasema yeye kwake mwanamke akishakua mweupe Basi huyo Ni mzuri haijarishi ana niniHawa wa kujichubua hata me HAPANA napenda sana mwanamke awe na natural color hata kama ni mweusi (my favorite) kama mkaa au mweupe awe na rangi yake OG, rangi za kuboost na calorite sizitaki aende akasaidie viwanda vya vipodozi kutest bidhaa zao kama vipi.
Nilimuahidi ntampa hela si akaenda kukopa mahali ili apeleke church...Atakua analiwa na mchungaji huyo au mweka hadhina wa kanisa..
Pita kushoto atakufirisi huyo..Nilimuahidi ntampa hela si akaenda kukopa mahali ili apeleke church...
Sasa ananisumbua eti anadaiwa.
Atajijua mwenyewe.
Mwanamke hawezi kuwa zero kichwani hivi.
Huyo kama mimi tu sipendi mwanamke anaejikoboa ngozi.. Eti nikutane nae ni black beauty afu baada ya miezi kadhaa kashakua na ngozi maji ya kunde eeeh eeeh hapana kwakweli..kuna jamaa huwa anasema yeye kwake mwanamke akishakua mweupe Basi huyo Ni mzuri haijarishi ana nini
Siyo demu wangu hata ila alishaanza kuleta shoboshobo.Pita kushoto atakufirisi huyo..
Yes...I was there....si unajua hiyo No.6 Mtu akiila ni sunna pia........Mpemba mimi was here
Anaekwambia nina mwenzangu wakati wewe unamuona umri umeeeenda na bado yupo kwao..hapo usirudirudi mzee
Usijaribu kuoa mwanamke msomi mwisho form 6 Tena kwakujishauri Mara mbili mbili mwisho wangu Ni form 4Mwanamke msomi ndie mzuri....mwanamke mjinga aende kwa baba yake
Ujaoaga tuMwanamke ambaye sioi:
-Mwenye mashosti na kupenda ku cling na circle ya mashosti.
-Social media Queen kujipost kila afanyalo through the day ingewezekana ata akinya kujipost angeweza.
-Kikuku na tatoo za ugoko au shingoni, mgongoni is disqualified.
-Njaa oriented, mwanamke wa kuomba omba 24/7 matatizo ya dunia kama anayamiliki yeye tu Mungu aniepushie hilo balaa tu.
-Much know na ubishi wa kijinga.
Sioi mkuu bado nipo nipo kwanza hadi niwe kama Mo ndio naoa maana ushauri umekuwa kutafta hela tu!Ujaoaga tu
Wale wamasai ni utamaduni wao wanatoboa masikio na kiweka hereni apo anazungumzia hawa wa mjini acheni kujificha kwa wamasaiKuna mavazi ya kila eneo. Huwez vaa kimini kanisani au ukweni. Ukipata mwanamke wa kimasai ambaye vikuku wanavaa mpaka wanaume hutompeleka kwenu?
Mchagua jembe si mkulima
Anawezakua na bikra ila akawa natabia mbovu .. mchoyo gubu kiburi tamaa ya pesa mvivu .. nk kwaiyo bikra siyo kigezoMiongozo ya wanawake wakutooa imewekwa bayana; hebu tuweke na miongozo ya wanawake wa kuoa; kuna jamaa yangu anasema haijalishi factor nyingine ye akipata bikira mapema tu anaenda kulipa mahari.
Nafikiri factor moja kubwa ya kuoa ni bikira. Japokuwa hapa inaweza kuwa mmoja kwa elfu so its a fact wote hatuwezi pata mabikira.
Bado bikra itabaki kuwa kigezo sema ndo ungezee mavigezo mengine sasa unayoyataka kama hivyo asiwe mchoyo, gubu nk...Anawezakua na bikra ila akawa natabia mbovu .. mchoyo gubu kiburi tamaa ya pesa mvivu .. nk kwaiyo bikra siyo kigezo