OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,779
Hapa hakuna chuki, tunatoa maelekezo kwa vijana wanaotafuta wake.
Wanawake wa namna hii ishia kula tu, usidhubutu kuoa.
1. Wanaovaa vikuku. Kama unabisha mpeleke kwa mama yako akiwa na kikuku.
2. Waliotoboa pua.
3. Wanaovaa suruali za kubana na vimini. Kama unabisha mpeleke kwa baba yako akiwa na mini.
4. Wanaopenda club na pombe kwa wingi.
5. Waliojichubua,anakuwa kama kapanya kamepakwa unga.
6. Wanaotoa kinyume na maumbile.
7. Wanaopanda vyeo kisiasa sababu ya kuwa karibu na wazee wa chama,wakati mweupe.
8. Mwanamke asiye na akili.
9. Mwanamke mwenye tatoo
10. Mwanamke anayetumia tako kama msingi wa biashara
11. Mwanamke msela kujimiksi na wavulana ni laana.
Ongeza na wewe bila chuki
Wanawake wa namna hii ishia kula tu, usidhubutu kuoa.
1. Wanaovaa vikuku. Kama unabisha mpeleke kwa mama yako akiwa na kikuku.
2. Waliotoboa pua.
3. Wanaovaa suruali za kubana na vimini. Kama unabisha mpeleke kwa baba yako akiwa na mini.
4. Wanaopenda club na pombe kwa wingi.
5. Waliojichubua,anakuwa kama kapanya kamepakwa unga.
6. Wanaotoa kinyume na maumbile.
7. Wanaopanda vyeo kisiasa sababu ya kuwa karibu na wazee wa chama,wakati mweupe.
8. Mwanamke asiye na akili.
9. Mwanamke mwenye tatoo
10. Mwanamke anayetumia tako kama msingi wa biashara
11. Mwanamke msela kujimiksi na wavulana ni laana.
Ongeza na wewe bila chuki