Wanawake wa Dar

Wanawake wa Dar

Hawa unaowaona hapa Dar walitokea huko huko Mbwinde...

Mji tu umewapenda ndio maana wawaona walimbwende...

Aisee sidhani kiongozi.
Wa Dar,itakuwa wameumbwa humu humu.
 
Chukuwa hiyo number usiangaike kuzunguka na hichi kibaridi hutakuja hudumiwa hulipo. Free Delivery on Payment/Pickup. +255718599011
 
Nyama ya Dar hainogi mkuu sijui huwa inakaa sana kwenye Friji, no nafikiri
ni kwa sababu inawekwa madawa mengi hivyo inakuwa laini, baridi yaani kifupi
ukiipika inalegea mno haiwi ngumu kama zile za mikoani ambako ni Original
yaani inakuwa ngumungumu.
 
Tatizo wanawake wa dar body nzuri ila tatizo lipo kwenye injini hatari tupu wengine kama wanatembea na panya aliyeoza

Mmh!!!
Usemayo ni ya kweli kiongozi??
Mbona kama, hawafanani na hayo!!
 
Nyama ya Dar hainogi mkuu sijui huwa inakaa sana kwenye Friji, no nafikiri
ni kwa sababu inawekwa madawa mengi hivyo inakuwa laini, baridi yaani kifupi
ukiipika inalegea mno haiwi ngumu kama zile za mikoani ambako ni Original
yaani inakuwa ngumungumu.

Eti eeeenh......
 
Tatizo wanawake wa dar body nzuri ila tatizo lipo kwenye injini hatari tupu wengine kama wanatembea na panya aliyeoza

........Aha ha ha ha ha!! Ngoja waje wenyewe wakusikie, mie simooooo. Ngoja nikae pembeni na shati langu jeupe lisije kurukiwa na damu wakianza kukupa za uso.
 
Mbona huelezi mpaka mwisho km uliopoa mmoja au uliacha baadhi ya maungo yako yasiwe na utulivu?
 
Mkuu hakuna tofauti na wanawake wa wakimakonde wote sawa watu
 
Mkuu hakuna tofauti na wanawake wa wakimakonde wote sawa watu

Kweli mkuu?
Kule ni natural colour mpaka harufu ya naniliu zao.
Alafu mauno ndo usiseme kiongozi.

Sasa na hawa wa Dar wanaoringa mpaka kutembea wako hivyo hivyo pia!?
 
HaaaaAAAAH haaaaaah hao hawafai kabisa..! Kama huna funguo 3 imekula kwako? Na waweza ukawa nazo na still ukalia kama yule jamaa aliyeimba "Nasema nawe"
 
Back
Top Bottom