Wanawake wa Dar

Wanawake wa Dar

Rugaijamu

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2010
Posts
2,942
Reaction score
1,302
Wandugu, salamu sana,

Poleni sana kwa majukumu ya siku na kwa mlio Dar es Salaam poleni kwa mvua.Tangu jana jioni nipo ndani ya jiji lenu mnaloliita la opportunity, ingawa nilipokelewa na mvua ambayo ilinifanya nililowane mpaka naniliu zangu.

Pamoja na kuwa niliingia humu usiku lakini niliweza kuwaona mabinti na wadada kadhaa wenye mvuto walioniondolea utulivu maungoni kwangu, lakini nilijikaza. Kivumbi kilikuwa leo hii, nilipokuwa maeneo ya Posta Mpya.

Aisee Dar es Salaam kuna wanawake wazuri asikwambie mtu. Kila niliyemuona alimzidi mwingine. Mavazi yao, miondoko yao, zungumza yao, pozi zao ni full uchokozi. Nilipata wakati mgumu mno.

Ilifika mahali nikawa najiuliza hawa wanawake wa Dar, watakuwa na naniliu za tofauti na wale nliowazoea kule Nanyamba ama? Manake wa huku kwenu wana maringo, wananata balaa. Aisee wanaume wenzangu wa Dar es Salaam mmependelewa, tena mnafaidi sana.

Hongereni
 
Ukitoka huko nenda Sinza. Ila uvae buti mana pamejaa maji pale sokoni na ubakize nauli ya kurudi mbwinde usije kulala juu ya miti.
 
Karibu mjini...
angalia wasikuchune hadi ukose nauli ya kurudi huko ulipotoka
hili ndo jiji sio kijiji
 
Jitahidi umjaribu mmoja kama kuna tofauti nijulishe na mimi nikajaribu wa huko kwenu nanilii si unajua hata samaki wa maji chumvi na baridi wanazidiana utamu mkuu.
 
Mkuu karibu dar, ww ukiona shore mzuri basi jitahidi kukemea tu "kwa jina la yesu" nyingiii, ukifanya hivyo utarudi mkoa salama u salmini bila buguza
 
Yaani Mkuu, Jiji lote hilo hujaona ile wanawake tu?? Rugaijamu changamkia kuna fursa kubwa ya kuinua uchumi wako na ukoo wao hapa jiji...... waTanzania bado safari ndefu!!
 
Last edited by a moderator:
chalii nadhani kila ukipita unaona wanawake hata mengine huoni
 
Tatizo wanawake wa dar body nzuri ila tatizo lipo kwenye injini hatari tupu wengine kama wanatembea na panya aliyeoza
 
niPM nikupeleke corner bar au brazil bar,nikakuonyeshe warembo wasiojua kutongozwa kwa maneno bali kwa pesa
 
Hahahaaaaa wew mkuu angalia usije ukala nauli n ukasahau kufanya ulichokifuata
 
Hawa unaowaona hapa Dar walitokea huko huko Mbwinde...

Mji tu umewapenda ndio maana wawaona walimbwende...
 
Jitahidi umjaribu mmoja kama kuna tofauti nijulishe na mimi nikajaribu wa huko kwenu nanilii si unajua hata samaki wa maji chumvi na baridi wanazidiana utamu mkuu.

Aisee hilo ndo lengo, lazima nionje walau mmoja ili niweze jua "kapuni kuna nini"
 
Mkuu karibu dar, ww ukiona shore mzuri basi jitahidi kukemea tu "kwa jina la yesu" nyingiii, ukifanya hivyo utarudi mkoa salama u salmini bila buguza

Aahahahahaaaa..
kiongozi acha uchoyo, ngoja na mie niwaonje wa huku bwana.
 
Yaani Mkuu, Jiji lote hilo hujaona ile wanawake tu?? Rugaijamu changamkia kuna fursa kubwa ya kuinua uchumi wako na ukoo wao hapa jiji...... waTanzania bado safari ndefu!!

Kiongozi, nimeona vingi huku na kilichonileta ni kukamilimisha taratibu za uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya nilikotoka.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa wew mkuu angalia usije ukala nauli n ukasahau kufanya ulichokifuata

Ntajitahidi kubana Dada.
Afu hela ya ñauli nimehifadhi kwenye airtel money account, na line nimeicha nlikofikia.
na kesho ntaenda kukata tiketi kabisa
 
Wanavaa pamba kali heleni za bei ya juu na vitopu,sifa ziende kwao-nikumbuka haka kanyimbo
 
Back
Top Bottom