Wanawake wa Arusha wazuri sana kuwatoa out, hawafeki maisha, wanagonga "nyeupe" kwa uhuru sio visavana, hawana tabia za kumkomoa mtoaji

Wanawake wa Arusha wazuri sana kuwatoa out, hawafeki maisha, wanagonga "nyeupe" kwa uhuru sio visavana, hawana tabia za kumkomoa mtoaji

watu kibao

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2025
Posts
466
Reaction score
1,645
Pisi kibao za Dsm na mikoa mingi ukizitoa out huwa ni kama umempa mtoto atm card atumie kwa siku moja, matumizi yao yapo rafu na kikomoaji kununua vinywaji ghali na mavyakula ya bei hadi vya kupeleka nyumbani, atawaita pia marafiki zake ambao ni wazoefu wa kudandia out za wenzao na ni makonkodi yasiyolewa wala kushiba kirahisi. mnatoka out mwenzako unamuona kanuna, ole wako sasa umuulize kwanini, utasikia gesi ya mtungi imeisha, mama anaumwa, woiiii 🔥 hii imekuwa out au fujo sasa.

Kwa upande wa Arusha nawaelewa sana, mambo yapo direct, sie watu wazima bwana, nipe kampani nikupe kampani tupunguzane stress, hata kama sio long term relationship tunaweza tumia muda mchache kuugeuza kuwa memories nzuri si kumbukumbu za uswahili, it takes two to tangle !

Kwanza mkishaelewana ukapiga intro yako, siku mtayopanga mkutane wapo sharp kwenye kujali muda, saa kumi ni saa kumi sio inafika hadi saa moja mtu anasema anajiandaa basi tu kutafuta attention kwamba anajali mavazi na kujisifia kwa wenzake akiwaonyesha meseji zako za "uko wapi" ajisifie yeye keki. pisi za Arusha hazina mambo mengi kwenye kujiandaa, kwanza huwa wanajikubali walivyo na ni wazuri hakuna haja ya kujifoji sana.

Kwenye vinywaji hawana mambo mengi, ataagiza "NYEUPE" yake ndogo na maji, mambo ya kujifanya kunywa visavana hio ni fek life, pisi nyingi zinapiga sana nyeupe ila ukizitoa out zinapretend ndio hapo unaona inafika hadi chupa ya 7 ya savana bado hayupo stim. halafu ukiwapata wale wa A town wenyewe ana kitu chake tayari kwenye pochi, ikifika mida anawasha, yani shega tu ! living her life, mtu yupo real na ana pesa zake.

Story zinaendelea huku mnasubiri nyama choma, unaona jinsi mtoko ulivyo ? mosi hakuna kiwingu cha watu wengi, mpo wawili na ndivyo inavyotakiwa iwe, pili mtoko unatumia gharama ndogo, tofauti na kwa wengine wataanza mitikasi za ku scan menu, kuanza kuchagua pizza, lobusta, chicken fried rice, n.k. basi tu kuigana, kujipiga picha za ushahidi nae kala pizza na kukukomoa.
 
Tumefikiwa 🥃🤭

giphy.gif
 
"Usile chakula cha mtu bahili, wala usitamani mapochopocho yake, maana moyoni mwake anahesabu unachokula. Atakuambia, “Kula, kunywa!” Lakini moyoni mwake hayuko pamoja nawe. Utatapika vipande ulivyokula; shukrani zako zote zitakuwa za bure."
met.23.6-8.BHN
 
Pisi kibao za Dsm na mikoa mingi ukizitoa out huwa ni kama umempa mtoto atm card atumie kwa siku moja, matumizi yao yapo rafu na kikomoaji kununua vinywaji ghali na mavyakula ya bei hadi vya kupeleka nyumbani, atawaita pia marafiki zake ambao ni wazoefu wa kudandia out za wenzao na ni makonkodi yasiyolewa wala kushiba kirahisi. mnatoka out mwenzako unamuona kanuna, ole wako sasa umuulize kwanini, utasikia gesi ya mtungi imeisha, mama anaumwa, woiiii 🔥 hii imekuwa out au fujo sasa.

Kwa upande wa Arusha nawaelewa sana, mambo yapo direct, sie watu wazima bwana, nipe kampani nikupe kampani tupunguzane stress, hata kama sio long term relationship tunaweza tumia muda mchache kuugeuza kuwa memories nzuri si kumbukumbu za uswahili, it takes two to tangle !

Kwanza mkishaelewana ukapiga intro yako, siku mtayopanga mkutane wapo sharp kwenye kujali muda, saa kumi ni saa kumi sio inafika hadi saa moja mtu anasema anajiandaa basi tu kutafuta attention kwamba anajali mavazi na kujisifia kwa wenzake akiwaonyesha meseji zako za "uko wapi" ajisifie yeye keki. pisi za Arusha hazina mambo mengi kwenye kujiandaa, kwanza huwa wanajikubali walivyo na ni wazuri hakuna haja ya kujifoji sana.

Kwenye vinywaji hawana mambo mengi, ataagiza "NYEUPE" yake ndogo na maji, mambo ya kujifanya kunywa visavana hio ni fek life, pisi nyingi zinapiga sana nyeupe ila ukizitoa out zinapretend ndio hapo unaona inafika hadi chupa ya 7 ya savana bado hayupo stim. halafu ukiwapata wale wa A town wenyewe ana kitu chake tayari kwenye pochi, ikifika mida anawasha, yani shega tu ! living her life na ana pesa zake.

Story zinaendelea huku mnasubiri nyama choma, unaona jinsi mtoko ulivyo ? mosi hakuna kiwingu cha watu wengi, mpo wawili na ndivyo inavyotakiwa iwe, pili mtoko unatumia gharama ndogo, tofauti na kwa wengine wataanza mitikasi za ku scan menu, kuanza kuchagua pizza, lobusta, chicken fried rice, n.k. basi tu kuigana, kujipiga picha za ushahidi nae kala pizza na kukukomoa.
Hivi bado kuna mademu wasiojitambua akili kunywa hovyo na kula kila chakula ili mradi tu katolewa out? 'mamake mimi kama demu namtoa out kisha anaanza tabia hizi za kijinga za mademu wa Dar, simlaziagi damu.....nampa makavu pale pale akiona vipi aondoke tu. Bahati nzuri wengi niwatoao out si washamba wa kufakamia vyakula na wajinga. Mademu wa Dar si wa kuwatilia maanani hata kidogo.
 
Hivi bado kuna mademu wasiojitambua akili kunywa hovyo na kula kila chakula ili mradi tu katolewa out? 'mamake mimi kama demu namtoa out kisha anaanza tabia hizi za akijinga za mademu wa Dar, simlaziagi damu.....nampa makavu pale pale akiona vipi aondoke tu. Bahati nzuri wengi niwatoao out si washamba wa kufakamia vyakula na wajinga. Mademu wa Dar si wa kuwatilia maanani hata kidogo.
bado wapo sana tu
 
Pisi kibao za Dsm na mikoa mingi ukizitoa out huwa ni kama umempa mtoto atm card atumie kwa siku moja, matumizi yao yapo rafu na kikomoaji kununua vinywaji ghali na mavyakula ya bei hadi vya kupeleka nyumbani, atawaita pia marafiki zake ambao ni wazoefu wa kudandia out za wenzao na ni makonkodi yasiyolewa wala kushiba kirahisi. mnatoka out mwenzako unamuona kanuna, ole wako sasa umuulize kwanini, utasikia gesi ya mtungi imeisha, mama anaumwa, woiiii 🔥 hii imekuwa out au fujo sasa.

Kwa upande wa Arusha nawaelewa sana, mambo yapo direct, sie watu wazima bwana, nipe kampani nikupe kampani tupunguzane stress, hata kama sio long term relationship tunaweza tumia muda mchache kuugeuza kuwa memories nzuri si kumbukumbu za uswahili, it takes two to tangle !

Kwanza mkishaelewana ukapiga intro yako, siku mtayopanga mkutane wapo sharp kwenye kujali muda, saa kumi ni saa kumi sio inafika hadi saa moja mtu anasema anajiandaa basi tu kutafuta attention kwamba anajali mavazi na kujisifia kwa wenzake akiwaonyesha meseji zako za "uko wapi" ajisifie yeye keki. pisi za Arusha hazina mambo mengi kwenye kujiandaa, kwanza huwa wanajikubali walivyo na ni wazuri hakuna haja ya kujifoji sana.

Kwenye vinywaji hawana mambo mengi, ataagiza "NYEUPE" yake ndogo na maji, mambo ya kujifanya kunywa visavana hio ni fek life, pisi nyingi zinapiga sana nyeupe ila ukizitoa out zinapretend ndio hapo unaona inafika hadi chupa ya 7 ya savana bado hayupo stim. halafu ukiwapata wale wa A town wenyewe ana kitu chake tayari kwenye pochi, ikifika mida anawasha, yani shega tu ! living her life na ana pesa zake.

Story zinaendelea huku mnasubiri nyama choma, unaona jinsi mtoko ulivyo ? mosi hakuna kiwingu cha watu wengi, mpo wawili na ndivyo inavyotakiwa iwe, pili mtoko unatumia gharama ndogo, tofauti na kwa wengine wataanza mitikasi za ku scan menu, kuanza kuchagua pizza, lobusta, chicken fried rice, n.k. basi tu kuigana, kujipiga picha za ushahidi nae kala pizza na kukukomoa.
Pesa afande wangu ,piga mkono ,kula buku mbili za kutosha ,jioni vua vazi jeupe tia vazi la khaki zama mitaa ya wavuta ngada mdake anayeonekana kuwa sharobaro sharobaro alafu mtikise haswa huwezi kukosa hela ya kumuhudumia mtoto wa Dar es salam kutoka kwa mama kibonge mbagala kaka .

Sawa enhe ?
 
You are missing the point.

Kiukweli Mji wa Dar, Una expensive lifestyle. Ukiwa Nje ya DSM, ukiwa na 100k watu wa2, Mnatoka out fresh na kuhave fun, lkn ukiwa DSM Una 100k You must be very carefully unaenda wapi na nani na mnaagiza nn, Otherwise utatoa milio kama mleta maada.
 
You are missing the point.

Kiukweli Mji wa Dar, Una expensive lifestyle. Ukiwa Nje ya DSM, ukiwa na 100k watu wa2, Mnatoka out fresh na kuhave fun, lkn ukiwa DSM Una 100k You must be very carefully unaenda wapi na nani na mnaagiza nn, Otherwise utatoa milio kama mleta maada.
Kati ya Dsm na Dodoma wapi kuna expensive lifestyle zaidi?
 
Pisi kibao za Dsm na mikoa mingi ukizitoa out huwa ni kama umempa mtoto atm card atumie kwa siku moja, matumizi yao yapo rafu na kikomoaji kununua vinywaji ghali na mavyakula ya bei hadi vya kupeleka nyumbani, atawaita pia marafiki zake ambao ni wazoefu wa kudandia out za wenzao na ni makonkodi yasiyolewa wala kushiba kirahisi. mnatoka out mwenzako unamuona kanuna, ole wako sasa umuulize kwanini, utasikia gesi ya mtungi imeisha, mama anaumwa, woiiii 🔥 hii imekuwa out au fujo sasa.

Kwa upande wa Arusha nawaelewa sana, mambo yapo direct, sie watu wazima bwana, nipe kampani nikupe kampani tupunguzane stress, hata kama sio long term relationship tunaweza tumia muda mchache kuugeuza kuwa memories nzuri si kumbukumbu za uswahili, it takes two to tangle !

Kwanza mkishaelewana ukapiga intro yako, siku mtayopanga mkutane wapo sharp kwenye kujali muda, saa kumi ni saa kumi sio inafika hadi saa moja mtu anasema anajiandaa basi tu kutafuta attention kwamba anajali mavazi na kujisifia kwa wenzake akiwaonyesha meseji zako za "uko wapi" ajisifie yeye keki. pisi za Arusha hazina mambo mengi kwenye kujiandaa, kwanza huwa wanajikubali walivyo na ni wazuri hakuna haja ya kujifoji sana.

Kwenye vinywaji hawana mambo mengi, ataagiza "NYEUPE" yake ndogo na maji, mambo ya kujifanya kunywa visavana hio ni fek life, pisi nyingi zinapiga sana nyeupe ila ukizitoa out zinapretend ndio hapo unaona inafika hadi chupa ya 7 ya savana bado hayupo stim. halafu ukiwapata wale wa A town wenyewe ana kitu chake tayari kwenye pochi, ikifika mida anawasha, yani shega tu ! living her life na ana pesa zake.

Story zinaendelea huku mnasubiri nyama choma, unaona jinsi mtoko ulivyo ? mosi hakuna kiwingu cha watu wengi, mpo wawili na ndivyo inavyotakiwa iwe, pili mtoko unatumia gharama ndogo, tofauti na kwa wengine wataanza mitikasi za ku scan menu, kuanza kuchagua pizza, lobusta, chicken fried rice, n.k. basi tu kuigana, kujipiga picha za ushahidi nae kala pizza na kukukomoa.
Tafuta hela.
 
Nilikutana na pisi moja kali ya kishua maeneo ya Iliboru tukaelewana tukatoka out,nikajisemea moyoni hapa leo nitapigika. Kufika Club pisi inaagiza Konyagi ndogo kavu inapiga taratibu alipiga nyagi ndogo mbili tukasepa. Big up kwako Emmmmmmmmmm
 
Hivi bado kuna mademu wasiojitambua akili kunywa hovyo na kula kila chakula ili mradi tu katolewa out? 'mamake mimi kama demu namtoa out kisha anaanza tabia hizi za kijinga za mademu wa Dar, simlaziagi damu.....nampa makavu pale pale akiona vipi aondoke tu. Bahati nzuri wengi niwatoao out si washamba wa kufakamia vyakula na wajinga. Mademu wa Dar si wa kuwatilia maanani hata kidogo.
Kuna mmoja nilimtoa out wakati naenda kumchukua nikakuta kanikusanyia kijiji cha watu wa tatu mamame zake,akili ikajiseti fasta nikawaambia ingieni kwenye chuma tuondoke. Nikawauliza twende wapi kuzuri wakasema Mbalamwezi wakati nipo njiani nikamtonya mwana nimkute Mbalamwezi,kufika pale nikawalipia kiingilio tukazama ndani,mmoja akaagiza wine kubwa,wengine Savannah wakafakamia kwa fujo sana Mimi na mshkaji tunawachora tuu mamamae zao,baadae nikaona movements wanaenda kwa majamaa fulani hivi kuja kusanuka kumbe walikuwa na birthday pale,nikamtext jamaa tuchomoke tuwaachie bili hawa mburula kweli jamaa akajifanya anaenda chooni Mimi nikajifanya naongea na simu tukasepa tukawaachia bili kama 125k hivi. Yule manzi akaanza kupiga simu sikupokea tuma SMS sijibu,akasema wameambiwa waache simu zao pale mpaka walipe bili,ikala kwao maxima.
 
You are missing the point.

Kiukweli Mji wa Dar, Una expensive lifestyle. Ukiwa Nje ya DSM, ukiwa na 100k watu wa2, Mnatoka out fresh na kuhave fun, lkn ukiwa DSM Una 100k You must be very carefully unaenda wapi na nani na mnaagiza nn, Otherwise utatoa milio kama mleta maada.
Hata huko mkoani, inategemea na kiwanja unachoenda ni kipi.
 
Back
Top Bottom