plan z
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 1,381
- 1,414
Mpe attention
Usisahau kuleta mrejesho
Mpe attention
Yaani upo kwenye maombi ya kufunga alafu unsoma nyuzi za Aina hii?! upo kwenye maombi ya kufunga alafu bado unakiri kwamba wewe ni mtukanaji?!
Pole dearMi nilimpenda Dr mmoja
Love at first sight....nilienda kupata tiba....nilihangaika ile siku kwa kweli....nikafanya Mambo mpaka nikapata namba yake, nikaanza salamu za kila mara, akawa anajibu vizuri.....nimejipendekeza kwa salamu kila siku na pole kwa kazi nyingiii, nikienda hospital akawa anaonyesha kuitikia wito, nikaomba date nae alisema akipata nafasi atanambia...lakini ni zaidi ya mwaka hatujakutana....ila alionyesha interest kabisaa ya kunipendapenda....ila anasitasita.....sijui ni mwoga.
Nimeshampelekea zawadi ya peni ili awe anandikia kwenye kazi yake na keki niliyopika kwa mkono wangu.
Yaani nimetuma sms mpaka nimechoka sasa naona kama namboa....nimejipa moyo konde maisha yaendelee tu....ana view status zangu hata ziwe nyingi.
Nipo hapa nami najifunza maujanja nimuanzie tena.
Hapana, sio kosa kabisa. Kosa ni kutongoza au kujitongozesha... Utaishia kudharaulika tu au kuliwa kimasihara, there is no way mwanaume anaweza kuwa anakupenda na asikutongoze.... bahati mbaya ukianza wewe hatokataa ni wanaume wachache sana wanaweza kukataa papuchi iliyojileta
Sasa ushasema mke wa potifa!!!Hapana dear unaweza kumpenda yeyote, kwa mfano mke wa potifa alimpenda house boy wake Yusufu akaonyesha hisia kali za mapenzi kwa huyo dogo, shida ilikuja kwa Yusufu kuwa na hofu kwa Mungu hivyo alimkatalia huyo bi dada.
But siku moja mke wa Potifa nyege zilimshinda hivyo akamwekea mtego ili aje bedroom kama house boy kazini kijana akatinga bedroom akamkata bidada kama alivyozaliwa yaani naked kabisa, huyo bidada akamwambia Yusufu leo nimekupata lazima unitonbe!
Yusufu akasema hapana lady siwezi but bidada akamshika kwa nguvu ili aondolewe nyege ila Yusufu alikataa katakata lady akamshika kwa nguvu na kuanza kumvua nguo Yusufu bahat mbaya kwa lady ilikuwa ni hii hakuwa na nguvu za kumdhibiti huyo Yusufu hivyo Yusufu aliponyoka mikononi mwa lady huku kanzu ya Yusufu ikibaki mikononi mwa lady Yusufu akatoka nduki akiwa hana vazi.
Ni story ya mwanamke kumpenda mwanaume asiyependeka ipo ndani ya Bible.
Kuna vidume havipendeki dear ila unaweza kijaribu haujakatazwa
Wapo wengine wanaelewa na akakupenda vizuri tu.Sio kosa, you misunderstood me dear, hata kumtongoza sio kosa ila the way he will take it inaweza kumfanya mwanamke akajiona hana thamani, na ndio maana hata muoaji ni mwanaume sio mwanamke kwa maana ya kwamba he is the proposer
Sasa Nakuja mbinu moja ya kijana I ila iko clasic. Mwombe akurekebishie Taa ya chumbani na kusogezankitanda wakati anafanya hayo we msaidie huku ukiwa umetupia kanga moko UMKARIMU NA JAPO JUICE Mbuzi lazima afie kwa mwuza SUPU ACHA UFALA CHAMNGAMKA WE INAONEKANA SI WA USWAZIHabari?
Umemwona mwanaume umempenda na unatamani awe mpenzi wako lakini yeye hana hata dalili ya kukutongoza , je ni sahihi kumtongoza?
Au huwa mnafanyaje hadi ajue kuwa unampenda?
Asante.
Mi nilimpenda Dr mmoja
Love at first sight....nilienda kupata tiba....nilihangaika ile siku kwa kweli....nikafanya Mambo mpaka nikapata namba yake, nikaanza salamu za kila mara, akawa anajibu vizuri.....nimejipendekeza kwa salamu kila siku na pole kwa kazi nyingiii, nikienda hospital akawa anaonyesha kuitikia wito, nikaomba date nae alisema akipata nafasi atanambia...lakini ni zaidi ya mwaka hatujakutana....ila alionyesha interest kabisaa ya kunipendapenda....ila anasitasita.....sijui ni mwoga.
Nimeshampelekea zawadi ya peni ili awe anandikia kwenye kazi yake na keki niliyopika kwa mkono wangu.
Yaani nimetuma sms mpaka nimechoka sasa naona kama namboa....nimejipa moyo konde maisha yaendelee tu....ana view status zangu hata ziwe nyingi.
Nipo hapa nami najifunza maujanja nimuanzie tena.
Kama unapendwa utatongozwa, sasa mwanaume hata time na wewe hana unataka umtongoze
Jiamini mamii atatokea atakayevutiwa na wewe wala hutakua na haja ya kutumia nguvu kujitongozesha
Imagine ukamtongoza halafu akakutaa hivi unadhani atakuchujukiaje, urakua umejidharaulisha na kujishushia heshima sana
Nature ya mwanamke ni kutongozwa sio kutongoza
Hahaha mkuu haujawahi kuona mahusiano ambayo mume anajielewa ila mke kimeo au mke anajielewa ila mume kimeo?
Tena nadhani mahusiano ya aina hii ndiyo yako mengi sana kwa dunia ya sasa hivyo siyo kila mtu humpata wa kufanana naye!
Ama kweli malipo ni hapa hapa dunini.
Sijui upekee wa hoyo mwanaume kwako ni nini?
Ni vigezo gani umetumia kumpa chaguo la kwanza.?
Nahis kuna mwamba anakuelewa kinoma, na anakufukuzia.. lakini unam ignore kwa sababu ya kijangaa kabisa.
Wenyewe wanaita, "Pancake a**". 😅😅Kama hana tako je!? 😂😂😂
Hana interest na wewe usipoteze mda
Mwaka mzima? Mwingine si mngekuwa mshazaa na katoto?
AiseeMbinu nzuri hii.asante