Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 476
- 1,244
Kutokana na mmomonyoko wa maadili kwenye jamii baadhi ya wanaume kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wamama kisha anakuwa na mahusiano ya kimapenzi na binti wa mama
Swali je wewe mama ukigundua na kupata uthibitisho usiyo na shaka kuwa mpenzi wako pia anatembea na binti yako wa kumzaa unafanyaje?
Nilihoji wanawake 10 wanaouza mbogamboga sokoni na majibu yakawa hivi
1, Wanawake 7 walisema" Namuua mwanaume kwa njia yoyote ile,na nikijua anatembea na binti yangu najifanya kuongeza mahusiano yangu kwake zaidi ili nimuue kirahisi"Alimaliza kusema mama mmoja
2, Wanawake 2 walisema "Wao watavunja mahusiano na pia atamwambia binti yake alichokifanya hakina maadili na binti mwenyewe aone aibu kama itapendeza kuendeleza mahusiano hayo"
3,Mwanamke 1 yeye alisema atavunja mahusiano na atamwachia binti yake aendelee naye basi
Kwa hali hii kuna vifo kumbe vinatokea kimya kimya kwa wanaume tukidhani ni vya kawaida kumbe ni vya kutengenezwa
Wanaume take care
Swali je wewe mama ukigundua na kupata uthibitisho usiyo na shaka kuwa mpenzi wako pia anatembea na binti yako wa kumzaa unafanyaje?
Nilihoji wanawake 10 wanaouza mbogamboga sokoni na majibu yakawa hivi
1, Wanawake 7 walisema" Namuua mwanaume kwa njia yoyote ile,na nikijua anatembea na binti yangu najifanya kuongeza mahusiano yangu kwake zaidi ili nimuue kirahisi"Alimaliza kusema mama mmoja
2, Wanawake 2 walisema "Wao watavunja mahusiano na pia atamwambia binti yake alichokifanya hakina maadili na binti mwenyewe aone aibu kama itapendeza kuendeleza mahusiano hayo"
3,Mwanamke 1 yeye alisema atavunja mahusiano na atamwachia binti yake aendelee naye basi
Kwa hali hii kuna vifo kumbe vinatokea kimya kimya kwa wanaume tukidhani ni vya kawaida kumbe ni vya kutengenezwa
Wanaume take care