Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,191
- 103,957
Hao wanawake wenyewe wanaowapuna pesa masimps ni feki watupu kuanzia mawigi kichwani, kope mpaka kucha miguuni.Alichokiumba Mungu hakifananishiki, asilia ni tamu kuliko feki
Hao wanawake wenyewe wanaowapuna pesa masimps ni feki watupu kuanzia mawigi kichwani, kope mpaka kucha miguuni.Alichokiumba Mungu hakifananishiki, asilia ni tamu kuliko feki
Wa Uv nyinyiemu au bavicha?Mtetezi wa vijana
Kipenda roho hula nyama mbichi. Ukienda hoteli unachagua ule nini, ukipenda broiler sawa, kienyeji sawa piaHao wanawake wenyewe wanaowapuna pesa masimps ni feki watupu kuanzia mawigi kichwani, kope mpaka kucha miguuni.
😂😂😂we kibokohapo si ntakuwa nimekupanga nikupe heshima na dhamani maupendo yote mbele ya watu sasa. Ukifeli hapo ujue arusi zingne kila mtu atakuwa anaenda kivyake chenji muhimu kama nimekupa laki jua hapo nimekuheshmu tumia hata f2 tu ya nauli boda zingne nizikute home
Ngome ya vijana🖐️-ACT.Wa Uv nyinyiemu au bavicha?
Kwani inayoliwa mawig au 🐈Hao wanawake wenyewe wanaowapuna pesa masimps ni feki watupu kuanzia mawigi kichwani, kope mpaka kucha miguuni.
Ndiomana unawachanganya vijana hao zambarau kuna muda wanakuwa veggies..!!Ngome ya vijana🖐️-ACT.
Uzuri hao unaowasema ni dada zangu, ndugu zangu, mademu zangu na marafiki zanguUlitaka wasiamini 😅
Yoda kisu butu anatafuta visababu ambavyo havihusiani kabisa na tunda la kati kati..!! 😹Au yanavaliwa na huko chini 😅
Nipo njema sana! Ulipotea hapa kati kati nikawaza labda ban button ya moderator imefanya yake.Niko poa best niaje?
Kama sio mpango wa mda mfupi basi ni wa muda mrefu kutupiga.Upi tena Stroke.
Huu ni Uzi tu 😅