Wanawake tunapenda hivi...

Wanawake tunapenda hivi...

Sio mbaya ila haya yote sisi mamen faida yetu ni nini. Coz sio siri kuna wanawake hawapendeki, hawaheshimiki, hawadhaminiki nk hata ufanyeje. Ila sio mbaya sana mimi labda niwape wanaume siri, mfano mpo wote labda harusini au msibani wewe mpange kabisa mkeo ufanye hili ili wajue unampenda na unamdhamini. Mda wa kwenda home hakikisha yeye ndo anatangulia kwenda home mkifika palipo na watu wengi mpe hug ya kumwambia bye ila mnongoneze kuwa tumia f10 tu, then toa wallet yako mpe hata 50k au laki but make sure umempanga na kwa tukio hilo tu umempa heshma na upendo na kila kitu kilichotajwa kwenye uzi then baadae sasa ndio wewe uende kivyako uombe chenji yako mcheke mlale. Yaani hapo ucheze na hela kama zile za goli la mama. Acha nimalizie glasi mbili kwanza.
 
Sio mbaya ila haya yote sisi mamen faida yetu ni nini. Coz sio siri kuna wanawake hawapendeki, hawaheshimiki, hawadhaminiki nk hata ufanyeje. Ila sio mbaya sana mimi labda niwape wanaume siri, mfano mpo wote labda harusini au msibani wewe mpange kabisa mkeo ufanye hili ili wajue unampenda na unamdhamini. Mda wa kwenda home hakikisha yeye ndo anatangulia kwenda home mkifika palipo na watu wengi mpe hug ya kumwambia bye ila mnongoneze kuwa tumia f10 tu, then toa wallet yako mpe hata 50k au laki but make sure umempanga na kwa tukio hilo tu umempa heshma na upendo na kila kitu kilichotajwa kwenye uzi then baadae sasa ndio wewe uende kivyako uombe chenji yako mcheke mlale. Yaani hapo ucheze na hela kama zile za goli la mama. Acha nimalizie glasi mbili kwanza.
Yani maigizo au 😅
 
Sio mbaya ila haya yote sisi mamen faida yetu ni nini. Coz sio siri kuna wanawake hawapendeki, hawaheshimiki, hawadhaminiki nk hata ufanyeje. Ila sio mbaya sana mimi labda niwape wanaume siri, mfano mpo wote labda harusini au msibani wewe mpange kabisa mkeo ufanye hili ili wajue unampenda na unamdhamini. Mda wa kwenda home hakikisha yeye ndo anatangulia kwenda home mkifika palipo na watu wengi mpe hug ya kumwambia bye ila mnongoneze kuwa tumia f10 tu, then toa wallet yako mpe hata 50k au laki but make sure umempanga na kwa tukio hilo tu umempa heshma na upendo na kila kitu kilichotajwa kwenye uzi then baadae sasa ndio wewe uende kivyako uombe chenji yako mcheke mlale. Yaani hapo ucheze na hela kama zile za goli la mama. Acha nimalizie glasi mbili kwanza.
Chenchi?yaani unipe laki take na chenchi tena?hapo unapewa kwa manjonjo chenchi sahau
 
Back
Top Bottom