Wanawake tuna maneno

Wanawake tuna maneno

Haa nisivopenda kushea cm na mtu nimeeka PW kabisa...

Huo ushost wa kua huru na cm yangu hapana aise
Hapo sasa

Kwanza kwenye simu wanatafuta umbea tu...

Asome msg zako

Kama shosti kigego achukue na namba ya mahabuba wako ajipeleke peleke

Aaaaiiiiiii yaani nina shosti 2 tu wa kufa na kuzikana ila hakuna anayeshika simu ya mwenzie

Na kuna limitation

Hata kandambili hatuvaliani
 
Siri na shosti no tutakaa kula kunywa saa yangu ikifika goodbye siku tunaachana hana la kusema mwanamke mmbeya sipatani nae kabisa.
Wanawake wengi wanashindwa kutofautisha na kuweka mipaka ya urafiki.....


Kuna shosti wa kutoa nae stori tu

Kuna wa kupeana dili na aidia za biashara tu

Kuna wa kula nae bata tu....huyu kwenye shida hanuonani

Kuna wa kucheka nae tu

Kuna mmoja wa kushea BAADHI ya furaha zako na vilio vyako nasisitiza BAADHI.....

pia kuna shosti wa kupiga nae umbea tu......walahi
 
Hapo sasa

Kwanza kwenye simu wanatafuta umbea tu...

Asome msg zako

Kama shosti kigego achukue na namba ya mahabuba wako ajipeleke peleke

Aaaaiiiiiii yaani nina shosti 2 tu wa kufa na kuzikana ila hakuna anayeshika simu ya mwenzie

Na kuna limitation

Hata kandambili hatuvaliani
Mimi ni mchoyo wa cm yangu kwakweli. Hata dogo hua simpi ila yake nagusa lol

Huu ushost ukiendekeza badae ni majanga tu heri kua na mipaka
 
Tatizo hamsikii, yani mshaambiwa
acha maneno weka muziki
lakino wabishi tu
 
pole,,,,sina rafiki wa kike nilitemana nao tangu siku namaliza chuo ,,marafiki zangu wa shida tabu na raha ni wanaume wenye akili, wanaonipa chachu ya kuendelea..ninao marafiki kumi wakiume najivunia kuwa na marafiki wa aina hiyo ,namshukuru ..kila mwisho wa mwezi tunakutana kubadilishana mawazo na tuna kikundi chetu ....
Niunge na mimi kwenye kigroup chenu shoga?

Mi wanawake nimewasusa..
 
Niunge na mimi kwenye kigroup chenu shoga?

Mi wanawake nimewasusa..
Njoo ujiunge nami sinaga maneno ni mwendo wa kuweka mziki.
Endelea kuwasusa hao wanawake njoo kwetu wanaume.
Jamani naweza pata bahati kama ya kuokota gari kwenye nje ya nyumba yangu baada ya mafuriko
 
Hivi sisi hatuwezi kuwa marafiki mpaka tusemane vibaya, yani usipomsema mwenzio unaona siku haiendi au inakuwaje, unakuta unakuwa na rafiki mnasaidiana kwa hali na mali lakini au akiwa na shida unamsaidia tena vya kwake mchoyo kweli, unajitoa kwa kila kitu lakini utakuta linakusema vibaya sijui ni wivu, chuki hata sielewi aisee!

Hii tabia tunayo sana wanawake tubadilike jamani, maisha yashakuwa magumu maneno ya nini, mimi nishaamua sasa niwe mwenyewe tu sitaki marafiki maana ukigeuza tu mgongo wauaji, halafu ukitaka kukumbuka kitu ambacho umemuudhi huoni au ukimuuliza anasema hakuna kitu yaishe tu nisamehe.

Au wengine bila kusema wenzao siku haziendi vizuri "lazima tuji control "
Yaani nishaamua toka mwaka jana hakuna rafiki yeyote kushika simu yangu, wala kujua password, misele yangu napiga kimya kimya, sitambulishi mpenzi wangu tuonane wenyewe tu. Maana maneno mengi mpaka unachoka.

Wanawake sisi ni kibokooo
Aliyewaroga alikuwa uchi na alishafariki..!
 

Mie nasubiri atakaesema yeye ndio alimfanyia ndivyo sivyo shosti yake. Maana hapa kila mtu anamsingizia shosti.
Nawewe Shosti yako alikufanyia nini?? Mimi mwingine ananisema eti namtega mume wake hahaha nimwendo wa shosti tu
 
Wanawake wengi wanashindwa kutofautisha na kuweka mipaka ya urafiki.....


Kuna shosti wa kutoa nae stori tu

Kuna wa kupeana dili na aidia za biashara tu

Kuna wa kula nae bata tu....huyu kwenye shida hanuonani

Kuna wa kucheka nae tu

Kuna mmoja wa kushea BAADHI ya furaha zako na vilio vyako nasisitiza BAADHI.....

pia kuna shosti wa kupiga nae umbea tu......walahi
Hahahahaha wa.umbeya hapana achelewi kugeuza kibao kwamba wewe ndio umesema.......kweli unatakiwa kuangalia nani wakumwambia habari zako
 
Hahahahaha wa.umbeya hapana achelewi kugeuza kibao kwamba wewe ndio umesema.......kweli unatakiwa kuangalia nani wakumwambia habari zako
Umbea unatakiwa kuwa msikilizaji tu.....

Usifungue mdomo kuchangia litakuozea

Uzuri wake huyu atakuletea info zooote za mjini
 

Ndio uache kumvalia mume wa mwenzio vimini.
Mimi nipo na maisha yangu navaa navotaka ilimradi nisivunje sheria tu na tumezungukwa na wanaume wengi tu iweje mumewe ambae ni jirani yangu ??? What if mumewe alimwambia mkewe as a defense mechanism?? What if he wanted to rap me the first day nafika hapo?? what if mumewe anatabia chafu za mazoea ya kutaka kunishika shika afu mimi nimchekee tu?! What if nilikemea nikamchamba mumewe mpaka ikifikia hatua ya ku- snitch juu yangu?! na ujue mkewe ni shoganguu so lazima ajihami Kuna mengi bibie Don't judge me mamaa u don't know what is behind the carpet..
 
Mimi nipo na maisha yangu navaa navotaka ilimradi nisivunje sheria tu na tumezungukwa na wanaume wengi tu iweje mumewe ambae ni jirani yangu ??? What if mumewe alimwambia mkewe as a defense mechanism?? What if he wanted to rap me the first day nafika hapo?? what if mumewe anatabia chafu za mazoea ya kutaka kunishika shika afu mimi nimchekee tu?! What if nilikemea nikamchamba mumewe mpaka ikifikia hatua ya ku- snitch juu yangu?! na ujue mkewe ni shoganguu so lazima ajihami Kuna mengi bibie Don't judge me mamaa u don't know what is behind the carpet..
Mie was just kidding mama, hauwezi kuacha kufanya jambo linalokufurahisha eti kisa fulani atasema.
 
We mwenyewe si unaona hata akili zao huyu jukwaani zilivyo.Eti oh rafiki yangu,shost wangu,mara mpenzi wangu.Ni kama vile vichwani kwao hamna mawazo mengine zaidi ya umbeya na mapenzi tu.
 
We mwenyewe si unaona hata akili zao huyu jukwaani zilivyo.Eti oh rafiki yangu,shost wangu,mara mpenzi wangu.Ni kama vile vichwani kwao hamna mawazo mengine zaidi ya umbeya na mapenzi tu.
Huu nao ni umbea.
 
Back
Top Bottom