Wanawake tuna maneno

Wanawake tuna maneno

Yan story za wanawake
Ukiskiliza unaweza kuishia
Kucheka au kuhuzunika

Mwanamke hanaga kifua
Cha kuweka,cr
 
Haha sio wanawake tu ata wanaume....mi saiz nimefanya shortlisting...nimebakiza mmoja tena ntakua namshirikisha ambayo sio yamaana
Samahani mkuu,kwa hiyo wewe marafiki zako ni jinsia ke?
Au hutaki rafiki wa jinsia yoyote!
 
WANAWAKE SKUIZ WAMEACHA WANAUME SASA YALAAAA WAMBEA DA MAOFISIN, VIJIWEN , MISIBANI, VIJIWENI bila kusahau ULEVINI
 
Yan story za wanawake
Ukiskiliza unaweza kuishia
Kucheka au kuhuzunika

Mwanamke hanaga kifua
Cha kuweka,cr

mbona hawasemi tunavyowakunja ? na wanavyotapeliwa tamuuu ----------- vifua wanavyo wewe sema wanajitoa ufaham tu
 
mbona hawasemi tunavyowakunja ? na wanavyotapeliwa tamuuu ----------- vifua wanavyo wewe sema wanajitoa ufaham tu

Kweli mkuu wanajitoaga ufsham hawa


Maana tukiwachomeleaa vzr
Wanavungia kabatin hawasemag
Kabsaaa
 
ilo nalo neno maana ukiwa mzuri unaringa ukiwazidi kidogo tu unaringa na hela sijui anapata wapi basi tabu tupu...
Tungekua tunapendana kweli kweli na kushikamana kusaidiana km ilivyo kwa me tungekua mbali

Kumjua na kumuelewa mwanamke ni kazi kubwa sana... Ila wanawake mnajuana wenyewe ndiyo maana mnachukiana, hampendani...
 
Humu natarajia kila mwanamke atamlaumu mwanamke mwenzie, yaani wao wote wema ila mashosti ndio wenye shida, hii ndio jf bwana.
Teh teh, nimecheka sana. Wao wema, wenzao ndio wabaya. Online perfectionism....
 
Hivi sisi hatuwezi kuwa marafiki mpaka tusemane vibaya, yani usipomsema mwenzio unaona siku haiendi au inakuwaje, unakuta unakuwa na rafiki mnasaidiana kwa hali na mali lakini au akiwa na shida unamsaidia tena vya kwake mchoyo kweli, unajitoa kwa kila kitu lakini utakuta linakusema vibaya sijui ni wivu, chuki hata sielewi aisee!

Hii tabia tunayo sana wanawake tubadilike jamani, maisha yashakuwa magumu maneno ya nini, mimi nishaamua sasa niwe mwenyewe tu sitaki marafiki maana ukigeuza tu mgongo wauaji, halafu ukitaka kukumbuka kitu ambacho umemuudhi huoni au ukimuuliza anasema hakuna kitu yaishe tu nisamehe.

Au wengine bila kusema wenzao siku haziendi vizuri "lazima tuji control "
Yaani nishaamua toka mwaka jana hakuna rafiki yeyote kushika simu yangu, wala kujua password, misele yangu napiga kimya kimya, sitambulishi mpenzi wangu tuonane wenyewe tu. Maana maneno mengi mpaka unachoka.

Wanawake sisi ni kibokooo
Kaka si ubadilishe hiyo avatar, unachanganya sana kuvaa uhusika wa mwanamke wakati wewe ni me
 
Back
Top Bottom