Wanawake tuna maneno

Wanawake tuna maneno

Wanawake wengi field yao ipo limited sana, hawapo sana kwenye mambo ya mpira, pombe, muziki, kazi na pia kuongea 'hard topics' kama elimu, siasa, sera mbalimbali sio sana, so ndio maana mada nyingi (sio zote) zinakuwa ni kuhusu mahusiano tu, yawe kifamilia, kimapenzi n.k, na mazungumzo hayahusu kusemana vibaya tu, kumsema kupo mara nyingi sababu kumsema mtu vibaya kisaikolojia huwa kunaleta faraja flani hivi hasa ukiwa na matatizo....
Ni kama mwamvuli wa kujikinga na udhaifu,maana wanawake by nature tu mna ka udhaifu flani hivi
 
Mkuu utakuwa umechukuliwa mpenzi wako tu..hakuna jipya hapa
 
Hivi sisi hatuwezi kuwa marafiki mpaka tusemane vibaya, yani usipomsema mwenzio unaona siku haiendi au inakuwaje, unakuta unakuwa na rafiki mnasaidiana kwa hali na mali lakini au akiwa na shida unamsaidia tena vya kwake mchoyo kweli, unajitoa kwa kila kitu lakini utakuta linakusema vibaya sijui ni wivu, chuki hata sielewi aisee!

Hii tabia tunayo sana wanawake tubadilike jamani, maisha yashakuwa magumu maneno ya nini, mimi nishaamua sasa niwe mwenyewe tu sitaki marafiki maana ukigeuza tu mgongo wauaji, halafu ukitaka kukumbuka kitu ambacho umemuudhi huoni au ukimuuliza anasema hakuna kitu yaishe tu nisamehe.

Au wengine bila kusema wenzao siku haziendi vizuri "lazima tuji control "
Yaani nishaamua toka mwaka jana hakuna rafiki yeyote kushika simu yangu, wala kujua password, misele yangu napiga kimya kimya, sitambulishi mpenzi wangu tuonane wenyewe tu. Maana maneno mengi mpaka unachoka.

Wanawake sisi ni kibokooo
Pole sana dada, hilo si tatizo kwa wanawake tu bali hata wanaume pia.

Hao ndio watanzania ambao machoni ni kama binadamu lakini moyoni ni Wanafiki.

Watanzania ni watu wa ajabu sana duniani.
 
Baada ya kugundua kuwa 'Friends can hold you back' na kukuona wa ajabu unapokua na shida niliamua kujikata kabisa, mara yangu ya mwisho kuwa na best friend ilikuwa ni O'level kuanzia Advance sikuwa na rafiki mpaka sasa yaan I'm not interested kabisa
 
Mkuu utakuwa umechukuliwa mpenzi wako tu..hakuna jipya hapa
Sijachukuliwa mpenzi maneno tu nimechokaa,hata nikichukuliwa mpenzi ,wapenzi wapo kibaooo wala sina shaka
 
Elimu, elimu, elimu Na kutafuta pesa tukifanikiwa Kwa hili hata muda Wa kusemana hakutakuwa nimeona hii Kwa magroup ya wanawake wanaojitambua kiakili mkikutana mnaongea business sio umbeya
 
Back
Top Bottom