miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
ha haaha unaogopwa kusema tatizo ni wewe unataka kujua kama wanakusema au lah? me sidhani kama nasemwaga sababu huwa siyasikii
Kweli sijui nani katulogaaaaa jmn khaaaaa... Wanawake hata maofisini ni shidaaa kn ofisi moja nlifanya kazi ndo nilijua rangi zote za wanawake.Hamna ushost mbaya kama huo, wanawake bwanaaa sie wenyewe kwa wenyewe hatupendani ni wachache saaana wenye urafiki wa kweli.
Rafiki yako wa karibu ndo muuaji wako wa siri, kwa ninayoyaona kwa wenzangu ushost upite tu mbali na mie
Dinazarde umeongea ukweli haswaa
Hakuna watu wabaya km marafiki feki hasa wanawake sijui katuloga nani mi mwaka jana nilipiga chini wote. Sababu izo izo wanakuchekea wakigeuka wanakuchoma mishale... Bora uwe na marafiki wakiume 10 klk kuwa na rfk mnafiki wa kike mmoja.....
Pole sana.
Ukiwa na rafiki maana imekulzimu weka akiba ya maneno siku mtakuja gombana,yaani usimwambie kila kitu,mkigombana ataelezea siri zako!Hivi sisi hatuwezi kuwa marafiki mpaka tusemane vibayaa,,yaan usipomsema mwenzio unaona siku haiendii au inakuwajee,,,unakuta unakuwa na rafiki mnasaidiana kwa hali na mali lakin au akiwa na shida unamsaidia tena vya kwake mchoyo kwelii,unajitoa kwa kila kitu lakin utakuta linakusema vibaya sijui ni wivu,chuki hata sielewii aisee..
Hii tabia tunayo sana wanawakee tubadilikee jamani,maisha yashakuwa magumu maneno ya nini
Mim nishaamua sasa niwe mwenyewe tu sitaki marafiki maana ukigeuza tu mgongo wauaji,,halaf ukitaka kukumbuka kitu ambacho umemuudhi huoni,,au ukimuuliza anasema hakuna kitu yaishe tu nisamehee
Au wengine bila kusema wenzao siku haziendi vizuri "lazima tuji control "
Yaan nishaamua toka mwaka jana hakuna rafiki yeyote kushika simu yangu ,wala kujua password ,misele yangu napiga kimya kimyaa,,sitambulishi mpenzi wangu tuonane wenyewe tu
Maana maneno mengiii mpaka unachoka
Wanawake sisi ni kibokooo
Mumy hata mie siutaki hata kuusikia ni bora mara mia kama una mume / mpenzi akawa ndio rafiki yako anaweza akakufichia siri zako lakini sio mwanamke.Hamna ushost mbaya kama huo, wanawake bwanaaa sie wenyewe kwa wenyewe hatupendani ni wachache saaana wenye urafiki wa kweli.
Rafiki yako wa karibu ndo muuaji wako wa siri, kwa ninayoyaona kwa wenzangu ushost upite tu mbali na mie
Ai wewe...Yupo sana tu
Siku hizi naona unatoa ushauri wa wenzio kuishi na wanaume....wameshaanza kukulenga tena?!hebu anzisha
We acha tuu, ni changamotooooKweli sijui nani katulogaaaaa jmn khaaaaa... Wanawake hata maofisini ni shidaaa kn ofisi moja nlifanya kazi ndo nilijua rangi zote za wanawake.
Ni wewe tu hakuna mwingine.Wanawake hata humu mnatupanga sn foleni...namm nmeamua kuanzia tarehe 1 niwe mwnyw tu...![]()
Ndo hivyo, sie sio kabisaa na sijui ni kwa nini tumekuwa hivyo jamaniMumy hata mie siutaki hata kuusikia ni bora mara mia kama una mume / mpenzi akawa ndio rafiki yako anaweza akakufichia siri zako lakini sio mwanamke.
Ila Sijuagi kwa nini tuko hivi?
Wote tuko sawa, tulio humu ndo tulio mtaani. Kiukweli hatupendani na ndo ukweeli huoHumu natarajia kila mwanamke atamlaumu mwanamke mwenzie, yaani wote wema, hii ndio jf bwana.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wanawake field yao ipo limited sana, hawapo sana kwenye mambo ya mpira, pombe, muziki, kazi na pia kuongea 'hard topics' kama elimu, siasa, sera mbalimbali sio sana, so ndio maana mada nyingi (sio zote) zinakuwa ni kuhusu mahusiano tu, yawe kifamilia, kimapenzi n.k, na mazungumzo hayahusu kusemana vibaya tu, ila kumsema kupo mara nyingi sababu kumsema mtu vibaya huwa kunaleta faraja flani hivi hasa ukiwa na matatizo....
Sidanganyiki tena mambo nmeshayaona mwnyw kwa macho yanguNi wewe tu hakuna mwingine.
Usiamini kila unachokiona.Sidanganyiki tena mambo nmeshayaona mwnyw kwa macho yangu
Wacha nikae mbali kbs niwe naangalia tuUsiamini kila unachokiona.
Sio marafiki wote wa kiume lzm mgegedane.😀😀😀 na hapo kuwa na marafiki wa kiume unazungumzia urafiki gani maana na sisi hatutaki friendzone, urafiki wa mgegedo sawa 😛😛😛
Utautesa moyo wangu.Wacha nikae mbali kbs niwe naangalia tu
Moyo hauwezi kuteseka wakat jamaa yupoUtautesa moyo wangu.