Wanawake tulieni kwenye ndoa zenu

Wanawake tulieni kwenye ndoa zenu

Mafiga matatu siyawezi naogopa kupigwa balaa kuumiza sehemu za siri bilasababu Ila ukihama lazima mwenzio ahamie
Wewe wacha uwoga kwani ina makombo hiyo....ukioga zako vizuri na unyunyu kwa wingi mbona mzabzab nakuja nanyonya kwa raha zangu
 
Lini jmani nimesema kuwa it doesnt hurt? Inauma sana tuu ila ukiwa umeshatarajia kuwa mrembo wako anaweza gegegedwa na mwanaume mwengine basi machungu hayawezi kifikia hatua ya kuweza kuchukua maamuzi ya kuua
Nyie ndo huwa mnawafata Hadi sokoni
 
Bwana wee...yaani mie nashangaa mwanaume analalamika mke wake kugeggedwa na de libolo lingine. Mwanamke mafiga matatu bwana. Wee ukipewa fursa ya kula asali ile tuu ila tambua haupo weye peke
Umeona eeh..hlf hv warembo walivyo wengi hvi why ukafie jelaa...
Km ni weye si unavuta pisi ingine kali unaoa
 
Kwahiyo waendelee kutombw* tu nje halafu walete **** zilizotumika ndani ya nyumba ili mume nae atomb*?

#YNWA
Simaanishi hvyo....
Ndio hapo ukigundua piga chini...ukiua its ur loss.....
Utakoaa kufaidi papuch zingine kisa mttu mzima mwenzio
 
Wewe wacha uwoga kwani ina makombo hiyo....ukioga zako vizuri na unyunyu kwa wingi mbona mzabzab nakuja nanyonya kwa raha zangu
Ktika matukio nayaogopa ni kufumaniwa kunamawili kupigwa na kuachwa asa usiombe uachwe ulipopenda unanyooka km rula mafiga matatu had sita wanawafaa wenye techinic za kusolve matukio ya ghafla
 
Mbaya zaidi Wanaume wa konkodi wa kuwapanga makumi ya wanawake eti nao wanaumia wake zao kupanga Wanaume 🥱🥱🥱🥱Mungu alikuwa na akili sana aliposema atakupa wa kufanana nawe so a cheater will marry a cheater ili kubalance mambo. Ukiona nyendo Za mkeo mbaya check na Za kwako kama haviko sawa basi jua tu mtendwa nae katendwa, Mungu ana jinsi ya kurudisha maumivu. Mimi huwa naamini hili kila jambo baya unalofanya Mungu ana namna ya kutunza receipt zake Brooohhh lazima utalipia tu tena kwa maumivu makali sana. Iko tu hivyo
 
Umeona eeh..hlf hv warembo walivyo wengi hvi why ukafie jelaa...
Km ni weye si unavuta pisi ingine kali unaoa
Kuwa na amwnaamke mmoja nikujitakia stress tuu...bwana wee yaani demu akizingia unapiga chini unatafuta pisi kali nyingine....wanawake wamejaa tele wee ni kusaka ndalama tuu unaburudika nao. Na uzuri wenu sio wachoyo wa mbususu kwa mwanaume mwenye mihela
 
Ktika matukio nayaogopa ni kufumaniwa kunamawili kupigwa na kuachwa asa usiombe uachwe ulipopenda unanyooka km rula mafiga matatu had sita wanawafaa wenye techinic za kusolve matukio ya ghafla
Wee sasa uncheat vipi kwa yule uliyempemda haswaa ..hapo unakuwa zuzu tuu. Mara nyingi unacheat kwa yule ambaye kwanza anytime akisema tuachane wewe wala hustuki....ila kama wajijua wee ukigegegdwa na de libolo lengine lazima mmiliki halali atajua basi tuliza mbususu hiyo🤣🤣🤣🤣
 
As long as u cheat in peaceful and pride... allow ur partner to do it as well... problem solved. Kama wewe si mkamilifu na una Tamaa hata yeye ni binadamu anatamaa pia. Tatizo wanawake wa sasa si malofa kama zamani... maana ukishaanza mishemishe zako Za nje kuna mapungufu mengi na gaps zinaoneka same as kwenye treatment lazima kuna mambo yatalega lega tu kuna vitu vitapungua kwa kasi ya ajabu sana ( kiasi ni kawaida huwezi kuwa mtumwa wa mabwana wawili). Sasa wakati uko busy na upande wa pili hizo gaps zinazobakia lazima upate wenzio wa kuzijaza utake usitake na hakuna kitu utamfanya!!!
 
Hata kama umewekeza mali na fedha nyingi kwa huyo mwanamke kama alivyofanya Marehemu Said kwa Marehemu Swalha haijalishi,

Kuwa na subra,

ITA wazee au nenda Polisi waambie hutaki shari unataka akurejeshee mali zako zote na unatoa na time frame.

Unaeleza kabisa kuwa ulimpa ukizani mtaendelea kuishi pamoja Kwa kusikilizana lakini imekuwa kinyume hivyo nahitaji kurejeshea mali zangu na fedha zangu haraka kabla sijawaza na kufanya vibaya.

Nakwambia utarejeshewa mali zako ulizompa zote kama ni magari, nyumba , viwanja, hela n.k

Hela Kama atakuwa hana usijali mwache lakini ataishi maisha ya hofu na mashaka hiyo nayo ni adhabu kwake tosha.
Kama mmefunga ndoa sio rahisi kama unavyofikiria. Mkienda Mahakamani ndo usiseme kesi sinachukua muda mno hata miaka 5. Hii ndo sababu watu wanajiamulia wenyewe.
 
Sio zama hizi rafiki, yaani maumivu unayoyasikia ukichitiwa ndo na mwanamke anayasikia hivyo hivyo, kama ww unavotamani wasichana huko nnje ndo nayeye anatamani wakak wazuri wazuri na show za kibabe. Zamani wanawake waliwavumilia sababu asilimia 90 walikua magoli kipa ila zama hizi mtaonyeshana show mbona yaan mtaishia jela au futi sita chini.
Wala si hivyo, wanaume siku hizi wameshindwa kubrainwash wanawake wao, wazee waliweza, Brainwash your woman to accept anything you say, mbrainwash mke wako hadi aseme "Nyama ni ileile unabadili bucha tu"
 
Juzi naona Carol Ndossi anasema mwenza kushika simu ya mwenzie ni kosa kisheria hata sijui sheria yenyewe kaitoa wapi, madanga na malaya wakashangilia sana.

Btw watu wamekua sio waaminifu tena uzinzi umetawala kila kona na hawa motivation speaker kwa kutaka ku-gain followers na kupiga pesa wamekua wakiwahadaa kwa maneno ya negative ili wawasapoti.

Mwingine utasikia anawaambia mwanamke tafuta pesa yako ili mwanaume asikunyanyase, najiuliza kwanini wasitafute chanzo cha manyayaso, ama wasitoe darasa kwa hao wanaume wanaoona wa awanyanyasa wake zao.

So wanawa-motivate wanawake watafute pesa then wawe wababe
Carol ni single maza sugu
 
Kuwa na amwnaamke mmoja nikujitakia stress tuu...bwana wee yaani demu akizingia unapiga chini unatafuta pisi kali nyingine....wanawake wamejaa tele wee ni kusaka ndalama tuu unaburudika nao. Na uzuri wenu sio wachoyo wa mbususu kwa mwanaume mwenye mihela
tukiona hela tunaloaa
 
Wanandoa na watarajia kuingia kwenye ndoa wameshindwa kutii miongozo ya imani zao ambazo zinatokana na Mungu, badala yake wanamsikiliza binadamu ambaye uwezo wake wa maono unaukomo.

Wauaji na wavurugaji wa kwanza wa ndoa na mahusiano ni wale wanaohamasisha kuishi kwa kujitenga wakati tayari ninyi ni mwili mmoja, kuna kauli ambazo zimekuwa zikifuatwa na kuwa kama miongozo halali na yenye busara kumbe inatengeneza sumu katika ndoa.

Kauli zenyewe ni kama vile wanandoa kutoshirikiana katika 'kushikiana simu', ni jambo ambalo linaonekana kuwa dogo kwa mtizamo wa kawaida lakini linamadhara makubwa. Unapoidhinisha jambo kama hili kwa wawili walioapa kushirikiana katika shida na raha ina maana kuwa unaenda kinyume na matakwa ya imani na matokeo yake yatakuwa mabaya kwa sababu umedharau maagizo ya Mungu.

Pia kuna mambo mengine kama kuhalalisha usawa wa kila jambo ndani ya ndoa ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu. "Mwanaume ampende mke wake na mwanamke amtii mme wake" haya ndio magizo la Mungu na si vinginevyo. Ukiingiza busara ya kibinadamu kama mambo ya haki sawa na kadhalika lazima kushindwa kutokee na ndipo matukio ya mauaji yanapozaliwa.

Binadamu turejee katika miongozo ya Mungu ambaye ndiye Muumba wetu maana Yeye ndiye aliyetupatia viwango maalum vya namna nzuri na bora ya kuishi, tusitegemee miongozo ya binadamu kwa maana mara nyingi ina akisi moja kwa moja kutoka kwa shetani.

Hivi kwa akili ya kawaida hatuwezi kujiuliza aliyesema wanandoa wasishirikishane simu alikuwa ana maanisha nini? Na baadhi wa wanandoa wanatii jambo baya kama hili ambalo lina akisi Uzinzi na Uasi ndani ya ndoa. Ndicho tulichoagizwa hadi tukaapa madhabahuni/ mbele za Mungu?. Tumepewa akili na Mungu ili tuweze kuchuja mema na mabaya, naomba Mungu atusaidie
 
Back
Top Bottom