Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,089
- 4,723
Mkuu, nilishawahi kuoa na nna watoto wawili niliyokutana nayo nayajua mimi, kifupi mwanamke alikuwa mtiifu ila alikuja kunishinda baada ya kuanza kuniletea maisha ya kwenye tamthiliya anayaleta kwenye uhalisiaBado ujana mwingi
Pitia uzi wa Mshana jr unaoitwa, "mada maalum kwa wanandoa" kisha fuatilia comment zangu





