Bwana wee...yaani mie nashangaa mwanaume analalamika mke wake kugeggedwa na de libolo lingine. Mwanamke mafiga matatu bwana. Wee ukipewa fursa ya kula asali ile tuu ila tambua haupo weye pekeYani hoovyo kabisa..hawaulizi baba zao na babu zao walifanyeje
Hii misemo
kuchapiwa siri ya ndani
Kitanda hakizai haramu
Si tumezaliwa tumeikuta..wanadhani wao ndio wa kwanza kuchapiwa...
Kizaz cha chips mayai bana..

