Kuna wanawake wanaamua ku pick up fights ambazo sio za lazima. Kama ukiwa neutral hutavunjika popote kwanini usichague kuwa neutral. Kuleta ligi katika mahusiano hakuleti afya zaidi ya mifarakano. Hili ndio feminist wengi linawagharimu
Anaemiliki huyu mtu aoe haraka , kuna mwanamke hapaI've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.
A women needs a man just as much as a man needs a women.
Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.
A women needs a man just as much as a man needs a women.
Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
Utakuwa na asili ya upumbavu kama utamuingizia mkeo malaya ndani. Mwanamke ambaye anakupa nafasi ya kutamba kama kidume with full respect.Sema na sisi wanaume tusijiweke kwny kinvuli cha uanaume kutesa watoto wa watu natural tu mke ni mvumilivu sana sasa wengine huingiza hata wanawake wengine chumban kwao mbaka mke anapambana na ww ujue umefanya mengi ya kijinga
Ni dalili ya kuachika hiyo.Hizi clip mbona huwa hazifunguki kwa simu yangu...Au laana ya umasikini imefika Hadi kwa Tecno yangu...Dooooh!
Acha ligi isio na msingi...Mwanaume ukimtii na kumuheshimu automatically atakuthamini na kukupenda kama lulu. Mbona unatumia nguvu sana kujaribu kuleta msuguano baina ya pande mbili. Ukiwa neutral utavunjika popote?
Kuna wanawake wanaamua ku pick up fights ambazo sio za lazima. Kama ukiwa neutral hutavunjika popote kwanini usichague kuwa neutral. Kuleta ligi katika mahusiano hakuleti afya zaidi ya mifarakano. Hili ndio feminist wengi linawagharimu
Hao ndio ambao wanatesekaga kutunza wanaume. Mwanamke mpaka anafika 37 hana mume 😂😂😂 anakimbilia church kutafta pa kuponea sababu ya ujuaji. Wanastukaga very late.Hakuna wanawake wanawake pasua kichwa na wanaokera kama wale wanaotaka kuleta ligi katika mahusiano.
Kweli mkuu ni kujiepusha nao tu.Kitu cha maana ambacho wanaume tunatakiwa tujifunze ni kwamba sio kila mwanamke anafaa kuwa kwenye mahusiano na mwanaume. Wewe ukishaona mwanamke ambae anapenda ligi kwenye kila kitu ujue huyo sio wife material, kwahiyo kaa nae mbali. Wanawake dizaini hiyo ni pasua kichwa hata ukiwa nae ni tabu tupu.
She opened up....kumbe kana akili..mwambie nimempenda leoWe mtu leo unatema madini sana.
Kweli mkuu, sio tu kuingiza chumbali tu bali mkeo asithubutu hata kujua umewahi chepukaUtakuwa na asili ya upumbavu kama utamuingizia mkeo malaya ndani. Mwanamke ambaye anakupa nafasi ya kutamba kama kidume with full respect.
Download App Ya Videoder""" Ama Vidmate"""""zen''' ukienda ifungua unaisukumia hapo"" ni fasta tuu"" utaziona""" na ata_kuzichukua ukitakaHizi clip mbona huwa hazifunguki kwa simu yangu...Au laana ya umasikini imefika Hadi kwa Tecno yangu...Dooooh!
Hata kuhisi tu haitakiwiKweli mkuu, sio tu kuingiza chumbali tu bali mkeo asithubutu hata kujua umewahi chepuka
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wewe usiyetaka kuwa mvumilivu kaolewe na ibilisi basi ,LA sivyo utabaki kuwa mdangaji na masela watakichezea hadi kichakae.I can't even waste my time and data to open that video. Men always like women who say things that support their primitive characters. Yani ukiwavumilia / kuwa support automatically you are a good woman. Most women want men's acceptance so bad they tolerate anything!
Wewe wa pwani leo umenifurahisha umeongea point, usishindane na mume, mtaishia kuwa akina Joyce kiriaI've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.
A women needs a man just as much as a man needs a women.
Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
Wewe ni feminist kama Joyce kiria huna lolote, harafu inaonekana ni jeuri na unapenda kushindana na wanaume.Mnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......
Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,
,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...
Mpe mawe mpe mawe huyo feminist, atakuwa wa kibosho huyuMwanamke na mwanaume hawapo sawa...japo Ni marafiki wakuubwa Sana..niwatu wakaribu Sana..
Mwanaume Ni Authority na anapambana kwa ajili ya familia..sijui Sasa Unvyotaka amtii mwanamke una maana gani.labda sijakuelewa.