Wewe ni mbegu ambayo ipo hatarini kupotea duniani..Sema na sisi wanaume tusijiweke kwny kinvuli cha uanaume kutesa watoto wa watu natural tu mke ni mvumilivu sana sasa wengine huingiza hata wanawake wengine chumban kwao mbaka mke anapambana na ww ujue umefanya mengi ya kijinga
Tunapenda kuwa wema kwenu ila shida mwanamke ukimpa likizo ya stress anakuona zoba at the end 😂😂😂Yaan acha tuu mi kipindi nipo chuo nilipataga unconditional love kwa Baharia mmoja ivi yaan nilipotezaga mbaka rafiki angu kipenzi kisa nampenda mwanaume asiieleweka kumbe masikini nilijua nimepata mwanaume mmoja kati ya saba waliopo duniani kwa wakati ule hata wenye pesa niliwaona machoko tuu.
Ila sasa hizi kunguru nyeusi zinalala mbaka na mahouse gal alafu anataka umpelekee maji ya kuoga bafuni kummke zao. Hawajui kadri unavyocheat na mke anazidi kukuona mbuzi pori.
Wanaume waliotulia wanafurahia ndoa zao. We uliskia wapii?!Wanaume kuna kitu hawajui ukishafeli kumvallue mkeo lazma atake haki sawa mume muhuni sioni umuhimu wa kumpa thamani wakati anaishi kibachela ndoani.
Wanaume waliotulia ni mashahidi wanafurahia ndoa zao. Nyie kina baba Jonii na baba Swalehe endeleeni hivyohivyo.
pendomamtefu ishi na hiyo mamaAlot has been said multiple times ila imekuwa ni malumbano yasio na mwisho tu. Nimewaletea clip hii japo iwe funzo na muweze kuelewa kuwa nini hasa tunahitaji katika ndoa ili kujenga familia yenye amani na furaha.
Ni life experience ya ndoa na funzo toka kwa mwanamke ambaye aliolewa akaachika sababu ya kuendekeza upumbavu. Kuna la kujifunza before hamjajigeuza ma superwoman.
View attachment 1608998View attachment 1609232
pole sana kwa yaliyokukutaMnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......
Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,
,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...
Ha ha ha dooohUkiona tu mwanamke wako anahudhuria sana vi kongamano vya mwanamke na uongozi, sijui anamfwatilia joyce kiria tegemea mabadiliko makubwa sana yanakuja na dharau zinakaribia.
Mpe mawe mpe mawe huyo feminist, atakuwa wa kibosho huyu
Kuna hapo pa kuopen via jf app na chrome. Opt chromeAisee nime download hiyo app lakin hizi attachment hazifunguk .. nifanyeje
Wapi hapo aisee mbona siioni.?Kuna hapo pa kuopen via jf app na chrome. Opt chrome
Mimi natumia app. We unatumia nn?Wapi hapo aisee mbona siioni.?
Natumia App pia aiseeeMimi natumia app. We unatumia nn?
"Two alphas can't exist on the same territory".I can't even waste my time and data to open that video. Men always like women who say things that support their primitive characters. Yani ukiwavumilia / kuwa support automatically you are a good woman. Most women want men's acceptance so bad they tolerate anything!
Mnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......
Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,
,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...
😘I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.
A women needs a man just as much as a man needs a women.
Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
You sound bitter whats the problem...I can't even waste my time and data to open that video. Men always like women who say things that support their primitive characters. Yani ukiwavumilia / kuwa support automatically you are a good woman. Most women want men's acceptance so bad they tolerate anything!
Mkuu umepata likes 95 soon zinafika 100.I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.
A women needs a man just as much as a man needs a women.
Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
Umeongea vyema sana.Ndoto yangu ni kupata mwanamke wa aina hii.Mwanamke mnyenyekevu na mtiifu asiye na kiburi wala dharauI've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.
A women needs a man just as much as a man needs a women.
Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
"Enyi wanawake watiini na kuwaheshimu waume zenu "Mnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......
Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,
,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...