Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,479
- 176,527
Asubutuuuuuuu!! Nitakufuata hadi chooni hadi kieleweke.Eeeh afadhali; maana nilijua mimi tu ndo nimebaki kwenye kundi la non-wife material. Eti akapokelee simu wapi? Aaaaaah weeeeeeeeeee
Asubutuuuuuuu!! Nitakufuata hadi chooni hadi kieleweke.Eeeh afadhali; maana nilijua mimi tu ndo nimebaki kwenye kundi la non-wife material. Eti akapokelee simu wapi? Aaaaaah weeeeeeeeeee
I dont think so....si nilijifanya mke mwema 😀
Hahahaahahahahah! It's a chit chat jamani msituchukulie kihivyoNaona mmefurahia sana leo huu uzi. 😀😀😀😀Na hapa ndio inaonyesha Me wengi mna Mengi. Teh
Maana mwanzo wa uzi mpaka mwisho hakuna aliyesema nahitaji kuwa muwazi mbele ya Mke wangu yaani nyoote mnataka muzungumzie simu chumbani. lol.
Wanaume Mungu anawaona.
Haswaaa hivi ukishamchunguza na ukajua ana mahusiano na mtu mwengine ,na ukiwa wewe ni mke wake wa ndoa itakusaidia nini zaidi yakujipa stress tu.Yaah sikuzote anakulindia heshima wewe mke wa ndoa leo umelitafuta mwenyewe
Asubutuuuuuuu!! Nitakufuata hadi chooni hadi kieleweke.
tatizo kuna ndezi bila blacklist mambo hayaendi af lawama kibao. Ukiyaambia yasipige mda wa mke yanapiga tuMumalizane pale ukiingia mlango wa home basi yasitokee ya kupiga simu wala kutuma messages
World war III.Hahahahaahhahahahaahahhahahahahahahahahahahahahahahhaahhaha hebu nijitahidi niwe kama hivi uwenda nikadumu kwenye mahusisno lol...
Nilivyo na gubu hivyo simu ipigwe ukaongee chumbani asalaleeeeeeeeee vita ya hapo si ya mchezo
Hahahahahahahah ha sasa mtu asiyeelewa unachepuka nae vipitatizo kuna ndezi bila blacklist mambo hayaendi af lawama kibao. Ukiyaambia yasipige mda wa mke yanapiga tu
Sikumbuki mara ya mwisho kushika cm ya wife ni lini, after nikiwa nyumbani huwa sipendi aongee na cm tukiwa sebleni na yeye anajua ilo hivyo cm yake ikiita either akaongelee nje, chumbani au jikoni nami hivyo hivyo kama kuna ulazima wa kunishirikisha mazungumzo yake kwenye cm is okey ila sio kumuuliza nami hivyo hivyo. Hata hivyo nina ka udicteta ndani yangu hivyo sio kila kitu nianze kutafuta sababu ya uongo au kweli mbele ya wife, ila sipendi kuingilia uhuru wa mtu mwingine as long as hata mimi sipendi mtu aingilie uhuru wangu.Swali ni je hilo hata wanaume wanaweza kufanya? Yaani mke simu inaingia anaenda kuongelea chumbani halafu mume kakaa tu hana hata wasiwasi na wala haulizi ni nani aliyepiga simu?
Wanawake tunaweza ila na wanaume wanaweza? Na wao wakiweza basi hakika ndoa itakuwa tamu zaidi ila siyo hawa wanaume wa kiafrika kila kitu utasikia "mimi ndo mwanaume humu ndani na mimi ndo niliyekuoa" ishiii kwahiyo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tatizo kuna ndezi bila blacklist mambo hayaendi af lawama kibao. Ukiyaambia yasipige mda wa mke yanapiga tu
Kwani unadhani wanachepukaga kwa kupenda?? Men tumeumbiwa matesoHahahahahahahah ha sasa mtu asiyeelewa unachepuka nae vipi
Lakini ndo Mungu ameshakataza uzinzi na uasherati so do it at your own riskby nature kila mwanaume ana tamaa
Back days, mke Ali cheat my pattern akaanza kukagua cm yangu nilipoenda bafuni, week iliyofuata nikamuomba aende kwao akasalimie wazazi wake...nilimuacha uko ajifunze hadi alipoiva...akatumia pesa yake kama nauli kurudi hom. Nilipanga achukue kozi ya mwaka kwao, ila haikutimiaKwasasa tutawafuata hadi chooni hadi kieleweke, bado tuna nguvu za kudeal na stress.
🤣🤣🤣🤣🤣Teh mbona hatutofika huko; maana hata yeye hawezi akaenda kupokelea simu pembeni
Hebu andika upya hata sijakuelewa.Back days, mke Ali cheat my pattern akaanza kukagua cm yangu nilipoenda bafuni, week iliyofuata aende kwao akasalimie wazazi wake.... akatumia pesa yake kurudi hom.
Afu unakuta kwenye kibanda umiza wanaume kama wote, mwanamke mmoja tu, kwenye saa tano hivi. Hadi uelewi huyu nae vipi. Kumbe![]()
Huyo ndo mwanamke aliyepikika akaiva
![]()
SIO MWANAUME UNAENDA KUANGALIA MECHI SAA 4 USIKU UEFA UNASKIA "BABA NJELEKELA TUNAENDA WOTE LAZIMA".
Nashukuru wewe umenielewa wengine wanang'ang'ania kuwa naleta ushindani na wanaume yaani hivyo ni vitu viwili tofauti wao wanadhani kuwa mwanaume ni kuwa kinyume na mke wako kwenye kila kitu na kumkosea mke makusudi ili umpime uwezo wake wa kusamehe na kuvumiliaSikumbuki mara ya mwisho kushika cm ya wife ni lini, after nikiwa nyumbani huwa sipendi aongee na cm tukiwa sebleni na yeye anajua ilo hivyo cm yake ikiita either akaongelee nje, chumbani au jikoni nami hivyo hivyo kama kuna ulazima wa kunishirikisha mazungumzo yake kwenye cm is okey ila sio kumuuliza nami hivyo hivyo. Hata hivyo nina ka udicteta ndani yangu hivyo sio kila kitu nianze kutafuta sababu ya uongo au kweli mbele ya wife, ila sipendi kuingilia uhuru wa mtu mwingine as long as hata mimi sipendi mtu aingilie uhuru wangu.
Halafu wewe si ulisema hizi siyo mambo zako hizi?tatizo kuna ndezi bila blacklist mambo hayaendi af lawama kibao. Ukiyaambia yasipige mda wa mke yanapiga tu