Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

What about serial cheaters? Unaitaka ndoa, unampenda sana na ushamwambia hupendi baadhi ya vitu ila wala hana mpango wa kubadilika? Nasema hivyo because nilikaa kwenye ndoa 8 years sijawahi hata siku moja kufungua simu ya mume wangu, wala hajawahi hata kunipa simu nipige picha hata za matukio ya kawaida... but here I am, no husband 😀😀. Of course his LOSS! but my point ishuwa najiambia kama ningekuwa namkagua ama namfanyia vurugu kidogo labda angeogopa, or maybe ningejua mapema wapinzani wangu! Nimekuja kushtuka wameshazaa watoto wawili uhawara uliokubuhu ndio wanakumbuka kuoana.😀
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
 
Hahahahaahhahahahaahahhahahahahahahahahahahahahahahhaahhaha hebu nijitahidi niwe kama hivi uwenda nikadumu kwenye mahusisno lol...


Nilivyo na gubu hivyo simu ipigwe ukaongee chumbani asalaleeeeeeeeee vita ya hapo si ya mchezo
 
Yah dada yangu akinipigia na tukiwa tunaongelea mazindiko ya kijijni kwetu ninakwenda chumbani
Oooh. Japo nionavyo yategemea Ntu na Ntu kwani hawa hawa ambao wanafurahia kwamba wanahitaji Privacy hawana mioyo ya kukubali tuzungumzie hayo mazindiko chumbani.

Kwani nao mwisho wa siku wanafura ka sie tu na walio wengi hawataki hata unyanyuke. Unazungumza akiwa hapo hapo na anataka ukitoka hapo umwambie ulikuwa wazungumza na nani na alikuwa anataka nini.
 
Oooh. Japo nionavyo yategemea Ntu na Ntu kwani hawa hawa ambao wanafurahia kwamba wanahitaji Privacy hawana mioyo ya kukubali tuzungumzie hayo mazindiko chumbani.

Kwani nao mwisho wa siku wanafura ka sie tu na walio wengi hawataki hata unyanyuke. Unazungumza akiwa hapo hapo na anataka ukitoka hapo umwambie ulikuwa wazungumza na nani na alikuwa anataka nini.
Akitaka kujua nitamuonyesha mpaka last call
 
Back
Top Bottom