conc acid
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 728
- 439
Unae muona amekongoroka kwa mwingine
Almasi. Papuchi bado tamu hata kama uso ni
Kama soli ya kiatu.
Ndio aende kwenye level zake za mkongoroko, high levels aachie waliopo kwenye form
Unae muona amekongoroka kwa mwingine
Almasi. Papuchi bado tamu hata kama uso ni
Kama soli ya kiatu.
Labda we ndio umezidi ubaridi.ahahahaha eti papuchi bado ni tamu,mtu hana hata joto bana
Ooohhh please.Ndio aende kwenye level zake za mkongoroko, high levels aachie waliopo kwenye form
Wa kaka ndio msiseme.
Mkiwa chuoni mko poa kweli. Mna afya nzuri
Mko fit miaka minne baada ya chuo mkisha anza
Kupokea shilingi vitambi, mikanda ya viatu shida
Kufunga.
Hili tatizo liko kwa wote.
Kwa hiyo mtutolee uvivu hapa .
Ooohhh please.
Mwanamke anavyokua ndivyo anavyozidi kunawiri.
Ni Kama wine vile .
Dah! hata mimi ishawahi nikuta hasa kwa madem niliosoma nao like 8 years ago yaani walikuwa ni moto wa kuotea mbali yaani nikiwaona moyo ulikuwa unaniripuka ile mbaya! chakushangaza wamechuja ile mbaya na mbaya zaidi bado wanajiona warembo eti! wakati sisi wanaume ndio kwanza tuna wapata wa binti wadogo wadogo so sielewi sisi hatuchuji kivile fasta au nikwasababu ya mkwanja!
dalili ya mafanikio kwa afrika ni kitambi japosikifagilii na sina huo uvimbe,ila kukongoroka kule hapana
sawa ila si umeenda kwake umekula na vingine umewezaje kula hivyo vingine wakati umesema hana mvuto tena ungekula ugali then uchanganye miguuinavyoonekana now ana uwezo kiuchumi kuliko miaka kumi iliyopita ,ndugu yangu asikudanganye mtu,kabla ya kumpenda mwanamke toka moyoni lazima macho yajiiridhishe ,ni kama chakula kitamu unavyoweka kukipenda kikiwa kwenye sahani kabla ya kukila ,mvuto wa mwanamke ni muhimu sana
Shauri yako kuna wabaridi sasa.mwanaume hajawahi kuwa wa baridi wala wa moto allways vuguvugu
sasa supu ya pweza na karanga nilizokula ningefanyaje sikuwa na namna kwani we hujawahi kula chakula hukipendi kisa una njaa ,usifanye mchezo na njaasawa ila si umeenda kwake umekula na vingine umewezaje kula hivyo vingine wakati umesema hana mvuto tena ungekula ugali then uchanganye miguu
sijawahi nakama ikitokea kabla ya kufika mdomo lazima nitapike ungehairisha tu naungeenda kumalizia unakomalizia sikuzote hujui now mwenzio yupo katika hali gani ya mawazosasa supu ya pweza na karanga nilizokula ningefanyaje sikuwa na namna kwani we hujawahi kula chakula hukipendi kisa una njaa ,usifanye mchezo na njaa
Kama ulivyonikatalia lakini aaah, we at peace! teh teh!Mmmh yani kuja watu wakikataliwa basi wanatamani kweli wakute wale waliowakataa maisha yao yamekuwa mabovu, wamechokaa. Jamani ukikataliwa wewe shukuru tu, ukubaliwe/upendwe na Kila mtu kwani wewe nani? Afu sometimes mtu kukukataa sio kwa sababu ni mbaya au umefulia, inawezekana tu hujapata kibali moyoni mwake, au possibly alikuwa kwenye mahusiano na mtu mwingine. Mambo ya kufurahia downfall ya mtu eishhh