Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Hahaha au na wewe unafurahia kimoyomoyo nilivyo-nyorodoka?Kama ulivyonikatalia lakini aaah, we at peace! teh teh!
Hahaha au na wewe unafurahia kimoyomoyo nilivyo-nyorodoka?Kama ulivyonikatalia lakini aaah, we at peace! teh teh!
Tized
Mkuu sisi wa TZ tuna mentality mbaya mno.
Mtu akiwa mnene =Afya, fedha, Tajiri, Kazi na
Kubwa kabisa hana "NGOMA "
ukiwa mwembamba sijui unaambiwa umekanyaga miwaya. Yaani akili zetu saa nyingine zimelala.
We are so quick to judge.
Yaani watu wangejua magonjwa yanayoambatana na unene/vitambi wangeanza mazoezi jana na diet juzi.
Life expectancy ya mnene ni fupi mno Pia.
Sasa wewee baada ya miaka kumi ulitegemea umkute yupo hivyo hivyo kwani ye jiwe? hiyo miaka hata kama mtoto yupo dalasa la nne. Sembuse mtu mzima ambaye ndani ya miaka kumi kashapitia mambo kibaoo. Mambo mengine Muwage mnawaza kabla hamjaandika humu.
Nimeangalia like zote ni za wanawake. Anyway wamekuelewa, ila wanaume Big NOWa kaka ndio msiseme.
Mkiwa chuoni mko poa kweli. Mna afya nzuri
Mko fit miaka minne baada ya chuo mkisha anza
Kupokea shilingi vitambi, mikanda ya viatu shida
Kufunga.
Hili tatizo liko kwa wote.
Kwa hiyo mtutolee uvivu hapa .
We una mapenzi ya msimu my dear..Kuna kipindi unakuwa baridi kama barafuYamekua hayaa?? Mhhh HV ndo kusema kaboon hunioni amaa unajifanya kipofu,tangu Sikh ya kwanza nakwambia nimeku dondokea .huelewi somo ??
Jje's kumbe muoga hivyo teh..hahahahhaha nikisema lovely umeelewa nini my love. naona sasa unaanza kunichukia kisa Kaboom.
the word lovely does not mean what you thought my love. be cool and calm.
Kaboom, kuja kipande hii useme bhana sitaki ugomvi na mwanamke mwenzangu.
sio muoga bhana, nataka ajue nani yuko kwenye kilo sasa.Jje's kumbe muoga hivyo teh..
Hii kesi tutaimalizia chembasio muoga bhana, nataka ajue nani yuko kwenye kilo sasa.
chezea mimi weweee, nataka ajue nafasi yake na wewe sema sasa kama sio muoga
teh teh
haaa sasa nani muoga kati ya mimi na wewe?Hii kesi tutaimalizia chemba
Teh teh..Mi siogopi bana..I'm just trying to be fairhaaa sasa nani muoga kati ya mimi na wewe?
haaa mimi hapo sitaki bhana, kuwa open bhana watu tujue nafasi zetu. hata kama nikiwa second mi poa tu.Teh teh..Mi siogopi bana..I'm just trying to be fair
Kweli???haaa mimi hapo sitaki bhana, kuwa open bhana watu tujue nafasi zetu. hata kama nikiwa second mi poa tu.
sija wauliza lkn wananiona kama bado sijachenji sana zaidi ya kunenepa kidogo na kufanya kitambi mbaya zaidi ni kwamba walinitosa but nao wanataka urafiki wa karibu!Nyie issue ni nini hapa? Wewe umewahi kuwauliza wanakuonaje kwa sura baada ya miaka kumi kupita?
Wanaume tuko self centered kweli kweli.
inawezekana wamependa kitambi na pochi ila naona its normal kwa mwanaume yeyeyote lkn ishu ni kwamba wao they look very old indeed!Hupendwe kitambi ugonjwa huo .
Watajifanya wanakupenda kumbe wanaangalia wallet yako. Endelea kujidanganya unapendwa.
jiamini tu useme yako ya moyoni mie nko tayariKweli???
Ray C?Kuna dada mmoja miaka kama kumi iliyopita alikuwa moto wa kuotea mbali kila nilipojaribu kutupa ndoana alikuwa ananitolea nje,uzuri tuliendelea kuwasiliana kwa simu kwa muda wote,kwenye whatsap alikuwa haweki picha yake,juzijuzi baada ya kuwa mpweke nikamkumbuka nikaanza kumpigia simu ili tuonane akawa ananichenga,juzi nikakomaa mpaka nikaenda kwake huko.
Nikastuka mpaka yeye akanistukia,mtoto alikuwa na tako la haja guu guu,pajapaja leo nikakutana na miss 1GB mwembamba kama uzi supu yote hakuna kilichofanya nimkumbuke ni sura na sauti,sijui mwili umeenda wapi,tangu juzi sijampigia tena na simtaki tena.
Kweli wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana yule hata ukiongozana nae watu watasema unatembea na shangazi yako dada wa baba yako na hapo bado hajazalishwa,akizaa itakuwaje kila akinipigia sipokei.
Nwei..Ngoja niwe mkweli..Nina mke na mtoto..Unaweza kunivumilia?jiamini tu useme yako ya moyoni mie nko tayari
haaa kwani nina uliza kama una mke? nilitaka ujibu swali la Lady in Red10. but kama una mke aisee stick na mke wako.Nwei..Ngoja niwe mkweli..Nina mke na mtoto..Unaweza kunivumilia?