Wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana

Wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana

inaonyesha siku za nyuma ulimtongoza kwa sababu ya tako na miguu leo hii hivyo vitu vimetoweka unamkimbia means hukupenda bali ulitaman hilo tako na miguu ingelikuwa ulimpenda kweli kutoka moyon wala usingekimbia am sure ungekaa nae na kumuuliza kilicho msibu na kumuhudumia ipasavyo ili arudie katika hali yake ya urembo kama awali now unamkimbia urembo aliokuwa nao mwanzo ulikuwa ukigaramikiwa na mtu nawe ingia gharama urudishe urembo wake siyo kumkimbia narudia tena hukupenda wew ulitamani
inavyoonekana now ana uwezo kiuchumi kuliko miaka kumi iliyopita ,ndugu yangu asikudanganye mtu,kabla ya kumpenda mwanamke toka moyoni lazima macho yajiiridhishe ,ni kama chakula kitamu unavyoweka kukipenda kikiwa kwenye sahani kabla ya kukila ,mvuto wa mwanamke ni muhimu sana
 
Sikuiz styl c ni Ya umOdel????
wanen tukitokea tunadhihakiwa.
ni kujidanganya asili ya mwanume wa kiafrika anaenjoy kulala na mwanammke mwenye nyama ,hata wanaojitia uzungu kuoa 1GB wanamichepuko iliyojazia kukata kiu yao,
 
mkuu ulilozungumza ni kweli mimi naunga mkono kicha habari hapo juu...kuna demu nilikuwa namzimikia sana kipindi nasoma alinichanganya sana nikawa sijielewi ila nikamfungukia akakataa kuwa na mimi niliumia nikalia nikasahau nao nipo sekta furani hivi...huyu demu ananipigia eti anataka kuonana na mimi tule tuongee tufurahi...dah nikikumbuka alivyo nitesa natamani ata nimfate nikamgegede kisha nirecord
 
Ebu ngoja nisiseme lolote hapa, maana naona binti yangu ameanza kua mdada aiseeee..[emoji19]
mwambie binti yako ale ugali aache mambo ya kisista duu kushindia matunda tu
 
mkuu ulilozungumza ni kweli mimi naunga mkono kicha habari hapo juu...kuna demu nilikuwa namzimikia sana kipindi nasoma alinichanganya sana nikawa sijielewi ila nikamfungukia akakataa kuwa na mimi niliumia nikalia nikasahau nao nipo sekta furani hivi...huyu demu ananipigia eti anataka kuonana na mimi tule tuongee tufurahi...dah nikikumbuka alivyo nitesa natamani ata nimfate nikamgegede kisha nirecord
ukiona hivyo ujue chat imeshuka tayari
 
Mmmh yani kuna watu wakikataliwa basi wanatamani kweli wakute wale waliowakataa maisha yao yamekuwa mabovu, wamechokaa. Jamani ukikataliwa wewe shukuru tu, ukubaliwe/upendwe na Kila mtu kwani wewe nani? Afu sometimes mtu kukukataa sio kwa sababu ni mbaya au umefulia, inawezekana tu hujapata kibali moyoni mwake, au possibly alikuwa kwenye mahusiano na mtu mwingine. Mambo ya kufurahia downfall ya mtu eishhh
 
Mmmh yani kuja watu wakikataliwa basi wanatamani kweli wakute wale waliowakataa maisha yao yamekuwa mabovu, wamechokaa. Jamani ukikataliwa wewe shukuru tu, ukubaliwe/upendwe na Kila mtu kwani wewe nani? Afu sometimes mtu kukukataa sio kwa sababu ni mbaya au umefulia, inawezekana tu hujapata kibali moyoni mwake, au possibly alikuwa kwenye mahusiano na mtu mwingine. Mambo ya kufurahia downfall ya mtu eishhh
nimepapenda hapo upendwe na kila mtu wewe nani? nikakumbuka usemi usemao upendwe na kila mtu umekuwa pesa? kikikikkkkki
 
nimepapenda hapo upendwe na kila mtu wewe nani? nikakumbuka usemi usemao upendwe na kila mtu umekuwa pesa? kikikikkkkki
Hapo chacha. Kuna watu wanajua kuishi na vinyongo pyeeee
 
dalili ya mafanikio kwa afrika ni kitambi japosikifagilii na sina huo uvimbe,ila kukongoroka kule hapana


Huu Uafrika mnausingizia mengi sana, kama kweli huwo ungekuwa ni Uafrika basi Wamasai wote wangekuwa na vitambi huko kwenye Manyata!
 
Back
Top Bottom