Kimsingi window periods za mwanaume na mwanamke hazifanani hata kidogo. Wanamke na mwanaume wako tofauti sana kibailojia. Hata aging process yao inakuwa katika pace tofauti tofauti.
Halafu pia kuna mambo mbalimbali yanayomtokea mtu (kiume au kike) ambayo yana-determine growth cycle ya huyo mtu. Mambo hayo yanaweza yawe ya kibailojia, kimofologia, kijamii, kiuchumi etc etc. Halafu umesema kwa uhakika kuwa hajazaa. Kwa taarifa yako anaweza awe ashazaa hata zaidi ya mara moja lakini alikuficha for obvious reasons. Je, kutoa mimba (tena labda mara nyingi tu)? Wanawake ni wajanja sana and they know how to choose their cards.
Lakini kama uliona mabadiliko yake yalikuwa makubwa mno kiasi cha kutokuelezeka vizuri kichwani kwako, then basi mkuu labda ungejifunza sana kutoka kwenye story yake kama ungeamua kuwa objective enough na kumuuliza what transpired katika maisha yake kwenye hicho kipindi ambacho hamkuwahi kuonana.
Of course kumuuliza kwenyewe kunatakiwa kuwa kwa approach nzuri ambayo haimfanyi ajisikie vibaya.
Mkuu usimchunie banaaa. Hata kama huna mpango wa mechi ya marudio. Ha ha ha